Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaargue vitu za ujinga. Tulia and argue like someone with a brain. Mtu amekuonyesha kwa MPESA app amelipa pesa kiasi Fulani unainsist na receipt ndio ufanyie Nini? Alafu kwa hiyo hiyo app unakubaliana na balance yake yet unapinga alicholipia. Wacheni ufala
Mwambie ndio rahisi kutengeza kuliko kila kitu😂😂😂.

Alafu yangu nipost hiyo payment Hawa watanzania wamekuwa na hasira sana😂. Ok nimewacha kupost, sitapost tena.
 
Mwambie ndio rahisi kutengeza kuliko kila kitu😂😂😂.

Alafu yangu nipost hiyo payment Hawa watanzania wamekuwa na hasira sana😂. Ok nimewacha kupost, sitapost tena.
1726656878764.png

kwani huyu nani
 
How many of you even understand how money market works? Let alone having account in one. Kwanza I’m sure majority of Tanzanians hata hawajawaiskia something like money market na wale wenye JF wenye wameskia that name they knew it from me😂😂.

Saccos za Tanzania ni kama merry go round za Kenya, we call them digging a pit and putting your money inside, after 1 yr if you come back nothing will be added on top of whatever you saved.
Maskini utamjua Tu 🤣🤣
 
Maskini utamjua Tu 🤣🤣
huyu ni maskini tu. ukiona mtu analazimisha umuone ana hela jua ni maskini tu, ukiona anaweka details za transactions zake kwenye mitandao jua kabisa hana hela maana ukiwa na hela lazima ujue kuexpose tu transaction zako unakuwa kwenye risk ya kufatiliwa na wezi wa kimtandao.
 
Ona unavyoanza kudata😂😂😂😂😂.
Nusu ya sita ni mbili!??
Tulizana kijana wacha papara.
We all know Clinical officer's salary in Tanzania ni 20k, yesterday I spend 20k kwa hoteli. Tell me if that's not half your salary 😂😂😂
 
We all know Clinical officer's salary in Tanzania ni 20k, yesterday I spend 20k kwa hoteli. Tell me if that's not half your salary 😂😂😂
1726657674288.png

kwahiyo askari wenu kenya wanaanzia tsh 360,000
 
Back
Top Bottom