Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

2,100 Tanzanian money. I know you don’t that money with you currently.
1726493234817.png

Hii ni fare kutoka Nairobi kwenda Machakos ambapo ni km 63 sasa unataka kutuambia nauli ndani mji wenu inaweza ikawa nusu ya ile ya kwenda machakos. hivi unajua nairobi wenzio tunakuja na tunapajua kuliko wewe unavoijua tanzania
 
flyover mnazijengewa ni kwa ajili ya viongozi wenu kuendelea kuwapiga pesa, haileti maana leo kuendelea kuijenga nairobi wakati kuna sehemu kibao za nchi yenu hazina maendeleo.
ukiangalia miradi yenu mingi ambayo ingekuwa ndo kama boost ya uchumi wenu na kuwainua wananchi wengi ikiwa imesimama ila kwenu mnasifia majengo na vitu vye uelekeo wa kupendezesha nairobi tu.
Tukijenga kwengine, mnasema tunajenga mahali ambapo hakuna faida, tukijenga Nairobi, mnasema tunajenga Nairobi pekee. Hata maumivu yenu ya Nini?
 
View attachment 3097534
Hii ni fare kutoka Nairobi kwenda Machakos ambapo ni km 63 sasa unataka kutuambia nauli ndani mji wenu inaweza ikawa nusu ya ile ya kwenda machakos. hivi unajua nairobi wenzio tunakuja na tunapajua kuliko wewe unavoijua tanzania
Unajifanya unaijua Nairobi alafu unaongea utopolo kama mtu ambaye hajawai kanyaga Nairobi.
 
Unajifanya unaijua Nairobi alafu unaongea utopolo kama mtu ambaye hajawai kanyaga Nairobi.
Hawa watanzania ni watu wajinga sana. Wamezoea daladala zao za 5 bob hadi wakiskia mtu analipa nganya fare ya 100 to move a distance of 12 km wanashangaa😂😂🤣😂
 
Mmetoka kitambo while you only have three flyovers in entire Tanzania?😂😂🤣😂.

For your information hata bado hamjaanza na mambo ya elevated roads ( Flyover, overpass, interchanges etc). Again that thing you are showing us iko Kakamega, meaning in road development Dar ni size ya Kakamega.
Dar es salaam hujenga miundombinu kulingana na uhitaji.
Haijijengei tu hovyoo hovyoo kama ninyi.
Ndio maana licha ya kuwa na flyover kibao bado mnaongoza kwa foleni hapa Afrika mashariki.
Hivi ushuru wa kulipia barabara mmeufuta??
 
Back
Top Bottom