Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tumeshaendesha kwenye motorways kubwa sana duniani itakuwa hapo na pia nimeshaendesha hapo wala hakuna feeling yoyote tofauti na highway ya kawaida foleni kama Kawa na exit za city centre ziko jammed it defeats the whole meaning ya hiyo barabara.
Maybe uliendesha ndotoni😂😂🤣😂
 
Passengers wanakaa wapi hapo na bus slots ziko wapi au unafikiri sisi hatujui how a bus park looks like?
Hiyo ni business Park Nyeri tunaijua watu wanakaa kwenye converted silos huko kote tumeshachafua Embu,, Nyandarua county, Nyaruhuru, kiganjo, Nyeri, Isiolo, meru etc
Hutudanganyi kitu huko.
That’s an integrated bus park, najua unatamani isikuwe bus park lakini sasa you have no choice but to accept and move on. Unauliza penye passengers wanakalia, Kwani hizo buildings unaona hapo sio waiting lounge?😂😂🤣
 
Yet Tanzania still record trade deficit against Kenya. For your information, you give coal we give you the end product which is thrice as expensive as the raw materials 😂😂🤣😂.

Yani Huoni hata aibu mnatumia raw materials while sisi tunawauzia end product at a costly price?😂😂🤣
Kwahiyo umekubali huu mjadala wa coal tunaufunga sasa😁
 
So Nairobi haina a point where bus route starts and end? Where vehicles turn, stop or reverse? Or where passengers board and alight from vehicles?😂😂😂🤣😂.


Wewe ni kichaa Nenda ukaangaliwe akili😂😂🤣😂
Ni River Road...mabasi yanapark popote tu...no order...huyu mtanzania kaleta Bus zuri lakini check anapopark sasa
...imagine from Mugufuli Bus Terminal to this kichochoro
1726221881931.jpg
 
Ni River Road...mabasi yanapark popote tu...no order...huyu mtanzania kaleta Bus zuri lakini check anapopark sasa
...imagine from Mugufuli Bus Terminal to this kichochoro
View attachment 3094912
River Road kila bus company has their own office. Huyo kama Hana ofisi ni shauri yake. Alafu Tangu lini Chinese bus ikawa a beautiful bus?😂😂🤣
 
So unataka kulinganisha Tanzania na USA and Russia? This same Tanzania that hata Burundi is more developed kuliko?😂😂🤣😂
We mpumbavu kuna kitu kinaitwa comparative advantage kwa nchi zinazofanya biashara between themselves
 
That’s an integrated bus park, najua unatamani isikuwe bus park lakini sasa you have no choice but to accept and move on. Unauliza penye passengers wanakalia, Kwani hizo buildings unaona hapo sio waiting lounge?😂😂🤣
Unajua Waiting lounge wewe kweli? Hivyo viduka vya 3×3 ndio unaita Waiting lounge
 
Back
Top Bottom