Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwa mwaka 2023/2024 mmeuza buses ngap tanzania?
So many. Just an example😂😂🤣

1726219175607.jpeg
 
Jana nilikuwa manundu kati Korogwe baada ya kutoka Shamba nikawa nimepita dukani kwa mwana mara wakaja wamarekani wakujitolea wapo Nyerere sec school walikuwa watatu mmoja kazunguka sana Africa na wawili ndo mara yao ya kwanza kukanyaga Africa,nikamuliza Kenya na Tanzania uneza ishi wapi Akasema Tanzania nikamuliza kwa nini akasema Watanzania ni wachangamfu kwa kila mtu ila Kenya ni kabila lake tu ndio wanalo changamkiana, Akasema amependa kujifunza Kiswahili Nairobi ni kuchafu sana na uslama ni mdogo sana kwa wageni wakaniambia wikendi watanipigia tukagonge vyombo
 
Between raw materials and end product hitch is costly?😂😂🤣.

You have the natural resources but you brain is thick that you can’t think of processing it to sell the end product to Kenya, no wonder we usually have surplus against Tanzania 😂😂
Naomba end product ya coal tafadhali 😂😂😂
 
haha azam aliwahi wapelea moto wa ngano wakaanza andamana na ndo maana unaona products nyingi hazitoki bongo kwa sababu ya protectionism
Naelewa vizuri tu kama hawa jamaa bila protectionism policy they are nothing to us. Wakiruhusu bidhaa za bongo ziingie ipasavyo, biashara yao ya ndani yote inakufa.
 
Ni bus park. Ama ulitaka iwe nini?😂😂🤣😂
Passengers wanakaa wapi hapo na bus slots ziko wapi au unafikiri sisi hatujui how a bus park looks like?
Hiyo ni business Park Nyeri tunaijua watu wanakaa kwenye converted silos huko kote tumeshachafua Embu,, Nyandarua county, Nyaruhuru, kiganjo, Nyeri, Isiolo, meru etc
Hutudanganyi kitu huko.
 
Tanzanians have no experience in driving in a freeway, they should come to Kenya and enjoy Thika Superhighway and Nairobi expressway.

View attachment 3094771
Tumeshaendesha kwenye motorways kubwa sana duniani itakuwa hapo na pia nimeshaendesha hapo wala hakuna feeling yoyote tofauti na highway ya kawaida foleni kama Kawa na exit za city centre ziko jammed it defeats the whole meaning ya hiyo barabara.
 
Back
Top Bottom