Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Good afternoon baboonman👋🏾👋🏾👋🏾Ila wewe ni zuzu sana nikipitia hii draft naona kitu mnauza sana bongo ni sabuni 😂😂😂😂😂 sasa sabuni ni kitu ya kuwa pround .?
Good afternoon baboonman👋🏾👋🏾👋🏾Ila wewe ni zuzu sana nikipitia hii draft naona kitu mnauza sana bongo ni sabuni 😂😂😂😂😂 sasa sabuni ni kitu ya kuwa pround .?
haha azam aliwahi wapelea moto wa ngano wakaanza andamana na ndo maana unaona products nyingi hazitoki bongo kwa sababu ya protectionismIla wewe ni zuzu sana nikipitia hii draft naona kitu mnauza sana bongo ni sabuni 😂😂😂😂😂 sasa sabuni ni kitu ya kuwa pround .?
So many. Just an example😂😂🤣kwa mwaka 2023/2024 mmeuza buses ngap tanzania?
See what Kenya is selling to Tanzania, even trucks, tractors, buses and cars we are selling to you. Not forgetting Toilet papers😂😂🤣🤣👇👇
View attachment 3094869
ukileta kama hizo 10 kwa 2023/2024 najinyonga na uelewa mwaka wa fedha 2023/2024 umeishia 30/06/2024
Six more coming your way😂😂🤣ukileta kama hizo 10 kwa 2023/2024 najinyonga na uelewa mwaka wa fedha 2023/2024 umeishia 30/06/2024
Naomba end product ya coal tafadhali 😂😂😂Between raw materials and end product hitch is costly?😂😂🤣.
You have the natural resources but you brain is thick that you can’t think of processing it to sell the end product to Kenya, no wonder we usually have surplus against Tanzania 😂😂
Naelewa vizuri tu kama hawa jamaa bila protectionism policy they are nothing to us. Wakiruhusu bidhaa za bongo ziingie ipasavyo, biashara yao ya ndani yote inakufa.haha azam aliwahi wapelea moto wa ngano wakaanza andamana na ndo maana unaona products nyingi hazitoki bongo kwa sababu ya protectionism
Ulikua Arusha mwaka gani wewe.? 😂😂😂
Umeamua kuomba msaada Addis 🤣🤣🤣🤣
Hii ni business Park sio bus terminalaliyeuunda kitu hiki kwa kweri hata kama ni designer hapa hajafanya ubunifu wowote, hii inafanana na shule tu
Passengers wanakaa wapi hapo na bus slots ziko wapi au unafikiri sisi hatujui how a bus park looks like?Ni bus park. Ama ulitaka iwe nini?😂😂🤣😂
kwa hiyo hapa ni kenya?
Tumeshaendesha kwenye motorways kubwa sana duniani itakuwa hapo na pia nimeshaendesha hapo wala hakuna feeling yoyote tofauti na highway ya kawaida foleni kama Kawa na exit za city centre ziko jammed it defeats the whole meaning ya hiyo barabara.Tanzanians have no experience in driving in a freeway, they should come to Kenya and enjoy Thika Superhighway and Nairobi expressway.
View attachment 3094771