Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ko saivi umekubali tunawauzia coal? 😂😂😂
Between raw materials and end product hitch is costly?😂😂🤣.

You have the natural resources but you brain is thick that you can’t think of processing it to sell the end product to Kenya, no wonder we usually have surplus against Tanzania 😂😂
 
Bushman mshamba sanaa, eti kapaka mafuta mikono kakata na makucha ili aonekane ana mkono mzuri, huyu jamaa ni fala sana wallahi, yani hana kazi ya kufanya bwege huyu haki ya mama nawaambia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 3094859
Watchman najua hujazoea mikono zinametameta na kucha safi pia😂😂🤣😂.

Mimi usinionee wivu, I didn’t make your hands to be hard na kuparara, Yani kukata kucha unaona ni mambo ya ajabu sana. No wonder your nails zinafana na kucha za mbuzi😂😂🤣😂
 
Kila ulichoandika hapa tunawazidi mbali sana.
public transport hata wasiseme
kuhusu usambazaji umeme wameendelea kutegemea ripoti za mitandaaoni huku wasichojua hakuna sehemu hii tanzania ukakuta umeme haujafika
umeme unaozalishwa tanzania ni mwingi kuzidi matumizi na bado kuna miradi inaendelea ya PPT hatukuiweka kwenye orodha . jana tumewawekea orodha hapa hawajajibu mpaka leo
 
Between raw materials and end product hitch is costly?😂😂🤣.

You have the natural resources but you brain is thick that you can’t think of processing it to sell the end product to Kenya, no wonder we usually have surplus against Tanzania 😂😂
Bushman kabanwa mwishowe kakubali 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Bushman kabanwa mwishowe kakubali 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yes nimekubali kwamba Kenya always has a trade surplus against Tanzania, hiyo kitu simple unataka nikatae kwa nini?😂😂🤣😂

Since 2000 Tanzania has only had a trade surplus against Kenya only once which was in 2021😂😂
 
Nitakuwa nimekosea maake ni kwa mda ule nao kuwepo barabarani na hapo ni mchana bado usiku na magari yao yanasomba LP Gas nazo ni za kutosha usiku na mchana bado Isuzu za matunda kama machungwa maembe yaani ni balaa unakutana nao hata usiku wa manane wanasachiwa na polisi
nadhani umepunguza sana hizo lori 50 ni za kampuni moja tu za ruvuma coal mining kuna kampuni kibao zikiwemo za kutoka kenya zinapaki mbinga kusubiria makaa ya mawe. ruvuma tu anafleet ya zaidi ya malori 900 mengine yanapeleka mtwara
 
Between raw materials and end product hitch is costly?😂😂🤣.

You have the natural resources but you brain is thick that you can’t think of processing it to sell the end product to Kenya, no wonder we usually have surplus against Tanzania 😂😂
URUSI anauza sana malighafi ulaya kuliko hata hizo end products na bado alikuwa ananua end products hukohuko ulaya ina maaana hana hela
USA anauza sana soya china na wachina wanatumia kutengenezea maziwa na vyakula vya mifugo ina maana US A hana uwezo wa kuzalisha vyakula vya mifugo na kuuza china?
 
URUSI anauza sana malighafi ulaya kuliko hata hizo end products na bado alikuwa ananua end products hukohuko ulaya ina maaana hana hela
USA anauza sana soya china na wachina wanatumia kutengenezea maziwa na vyakula vya mifugo ina maana US A hana uwezo wa kuzalisha vyakula vya mifugo na kuuza china?
So unataka kulinganisha Tanzania na USA and Russia? This same Tanzania that hata Burundi is more developed kuliko?😂😂🤣😂
 
Nitakuwa nimekosea maake ni kwa mda ule nao kuwepo barabarani na hapo ni mchana bado usiku na magari yao yanasomba LP Gas nazo ni za kutosha usiku na mchana bado Isuzu za matunda kama machungwa maembe yaani ni balaa unakutana nao hata usiku wa manane wanasachiwa na polisi
tembelea mbinga uone watu wanapanga foleni siku tatu kupakia na zipo deport kibao kama za miGHTY, RUVUMA, SPECIALIZED HAULIERS na hapo kupakia hata dakika tano kwa lori hazifiki
 
Yes nimekubali kwamba Kenya always has a trade surplus against Tanzania, hiyo kitu simple unataka nikatae kwa nini?😂😂🤣😂

Since 2000 Tanzania has only had a trade surplus against Kenya only once which was in 2021😂😂
Hebu tuambie mnauza nn Tanzania ikiwa mpaka dawa tunawapa bure 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hebu tuambie mnauza nn Tanzania ikiwa mpaka dawa tunawapa bure 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyinyi kitu mnauzia Kenya ni raw materials pekee. Kenya on the other hand is selling to you end products😂😂🤣

IMG_0551.jpeg
 
Sio mbiga tu kaka hata hapa nilipo kuna jirani yangu alioa mombasa shemeji zake wakija kumsalimia hawarudi tena Kundurenda wanasema huku ni kuzuri walikuwa hawajui na wala hawambiwi wao wanachokijua kuwa shilling yao inathamani kuliko yetu
tembelea mbinga uone watu wanapanga foleni siku tatu kupakia na zipo deport kibao kama za miGHTY, RUVUMA, SPECIALIZED HAULIERS na hapo kupakia hata dakika tano kwa lori hazifiki
 
So unataka kulinganisha Tanzania na USA and Russia? This same Tanzania that hata Burundi is more developed kuliko?😂😂🤣😂
nachokuambia kuuza malighafi bado ni biashara kubwa sana tena ambayo inawanyanyua wengi in the longrun utaona hizo products inategemeana na nyinyi mmejipanga kufanya nini. kwa wakati gani. na hata siku tuianza kutengeneza bidhaa zetu bado tutakuwa na soko la malighafi pia. ok mfano hivi nyinyi mnaexport sana bati nzito, sabuni na bidhaa za madawa ya bianadamu lakini kuna viwanda vinajegwa mkuranga na chalinze kwa ajili ya bidha hizo siku wakianza kuuza kwa malighafi rahisi watazipata tanzania kuliko kenya hivyo bei itashuka na inaweza ikawa vice versa pili bado nyinyi kwa sababu malighafi hamna tutaendelea kuwauzia malighafi tu. nani atapoteza
 
nachokuambia kuuza malighafi bado ni biashara kubwa sana tena ambayo inawanyanyua wengi in the longrun utaona hizo products inategemeana na nyinyi mmejipanga kufanya nini. kwa wakati gani. na hata siku tuianza kutengeneza bidhaa zetu bado tutakuwa na soko la malighafi pia. ok mfano hivi nyinyi mnaexport sana bati nzito, sabuni na bidhaa za madawa ya bianadamu lakini kuna viwanda vinajegwa mkuranga na chalinze kwa ajili ya bidha hizo siku wakianza kuuza kwa malighafi rahisi watazipata tanzania kuliko kenya hivyo bei itashuka na inaweza ikawa vice versa pili bado nyinyi kwa sababu malighafi hamna tutaendelea kuwauzia malighafi tu. nani atapoteza
See what Kenya is selling to Tanzania, even trucks, tractors, buses and cars we are selling to you. Not forgetting Toilet papers😂😂🤣🤣👇👇

IMG_0551.jpeg
 
Kwani kundurenda wanajua kufanya biashara kazi yao ni midomo mirefu
nachokuambia kuuza malighafi bado ni biashara kubwa sana tena ambayo inawanyanyua wengi in the longrun utaona hizo products inategemeana na nyinyi mmejipanga kufanya nini. kwa wakati gani. na hata siku tuianza kutengeneza bidhaa zetu bado tutakuwa na soko la malighafi pia. ok mfano hivi nyinyi mnaexport sana bati nzito, sabuni na bidhaa za madawa ya bianadamu lakini kuna viwanda vinajegwa mkuranga na chalinze kwa ajili ya bidha hizo siku wakianza kuuza kwa malighafi rahisi watazipata tanzania kuliko kenya hivyo bei itashuka na inaweza ikawa vice versa pili bado nyinyi kwa sababu malighafi hamna tutaendelea kuwauzia malighafi tu. nani atapoteza
 
See what Kenya is selling to Tanzania, even trucks, tractors, buses and cars we are selling to you. Not forgetting Toilet papers😂😂🤣🤣👇👇

View attachment 3094869
Ila wewe ni zuzu sana nikipitia hii draft naona kitu mnauza sana bongo ni sabuni 😂😂😂😂😂 sasa sabuni ni kitu ya kuwa pround .?
 
Nyinyi kitu mnauzia Kenya ni raw materials pekee. Kenya on the other hand is selling to you end pr
See what Kenya is selling to Tanzania, even trucks, tractors, buses and cars we are selling to you. Not forgetting Toilet papers😂😂🤣🤣👇👇

View attachment 3094869
haha yaani sijawahi ona tractor ikitoka kenya kuja tanzania ila nachojua kuna kampuni ambayo ina uwakala wa case tu tena wanaimport direct kupitia dar na bado haiperfom vizuri , labda toilet paper tu ambazo kwetu hazina oko sana hata hivyo godwill anatengeza kupitia kampuni yake ya kiss kids. cement mnadanganywa hakuna siment inayotoka tanzania kwa sasa maan akuna viwanda lukuki na kuna watu wanafunga safari toka rwanda kuja mtwara almost km 2000 kufuata cement si wangekuja nairobi. sukari bado mahitaji ni mengi population kubwa,
 

Attachments

  • 1726218520508.png
    1726218520508.png
    1.2 MB · Views: 13
Back
Top Bottom