Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
That’s the truth, wewe huwa huelewi mada. Kazi yako ni kurukia tu mambo kwa mbele😂Mkizidiwa hoja mnakimbilia personal attack eti sielewi mada wapi imeanzia
That’s the truth, wewe huwa huelewi mada. Kazi yako ni kurukia tu mambo kwa mbele😂Mkizidiwa hoja mnakimbilia personal attack eti sielewi mada wapi imeanzia
Umedai tunanunua magari kutoka kwenu,nimekuuliza toka lini tunanunua kutoka kwenu.That’s the truth, wewe huwa huelewi mada. Kazi yako ni kurukia tu mambo kwa mbele😂
Sijaona sehem imeandikwa hivyo mm.Angalia hapo mbele utaona imeandikwa AVA😂😂😂🤣
View attachment 3095019
View attachment 3095026
Alafu Kuna kunguru atakuambia ati watu wanapanga lines for 5hrs waiting to board a matatu.
This is night picture nimechukua saa hii, matatu are so many at the see stage hadi they are the ones waiting for passengers to come and fill them.
View attachment 3093522
Kwa mwaka mzima zimenunuliwa gari mbili tu. Sasa ndo wameassume tunanunuagaUmedai tunanunua magari kutoka kwenu,nimekuuliza toka lini tunanunua kutoka kwenu.
Mbona kitu simple!!?
Ni mimi ama wewe huelewi??
Hizi gari kiukweli mm sikupanda ila nilihadithiwa kulikuwa na chai maharage 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa makalio kweli.😂😂😂😂😂😂😂Kwa mwaka mzima zimenunuliwa gari mbili tu. Sasa ndo wameassume tunanunuaga
Kwanza wakaonje vita ya abood na bm. Kama hawajui wamuulize akamba express na tawfiq miaka 1996- 2000 lilivyopigwa promo la wiki nzima dar- Nairobi Bure enzi za hood limited aka panyabook
Kubababake munakimbilia daladala nikama munapiga mwizi. 🤣🤣🤣 Maisha ya shida hii.
Kubababake munakimbilia daladala nikama munapiga mwizi. 🤣🤣🤣 Maisha ya shida hii.
View: https://x.com/Tupaclifee/status/1833183405858586969
Hongera kwa bus station, lakini kwa commuter rail hua tumewapiga mwosho mmoja. Ona sasa Dar is a slum commuter rail.🤣🤣🤣Hizi ni changamoto ndogondogo zitatatuliwa, hiyo ni kutokana na ujenzi mkubwa wa BRT unaoendelea, naijua hii bus stage, hakunaga shida ya usafiri, kwanza nilitegemea utapongeza the way we have such infrastructure but as a kunyan sina shida na wewe najua ni wivu, FYI hapo kuna ujenzi wa BRT that's why kuna uhaba wa mabasi because of huge traffic.
Hip congestion inaenda potea mind you Kuna order ya zaid ya mabasi 400Hongera kwa bus station, lakini kwa commuter rail hua tumewapiga mwosho mmoja. Ona sasa Dar is a slum commuter rail.🤣🤣🤣
![]()
Mshanunua tisa so far. Katarama Bought 3, Chakaby bought 2 and other still coming, Saul has ordered 6 😂😂🤣Kwa mwaka mzima zimenunuliwa gari mbili tu. Sasa ndo wameassume tunanunuaga
Hii sio nganya.
Leta picha ya katarama zilizo na chata ya avaMshanunua tisa so far. Katarama Bought 3, Chakaby bought 2 and other still coming, Saul has ordered 6 😂😂🤣
Two for Chakaby👇👇
View attachment 3095045
Safi sana umeanza kukubaliana na ukweli 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Hongera kwa bus station, lakini kwa commuter rail hua tumewapiga mwosho mmoja. Ona sasa Dar is a slum commuter rail.🤣🤣🤣
![]()