Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

According to Tanzanians Arusha is better than MombasaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

ArushaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

View attachment 3094397


Mombasa
View attachment 3094398
Mombasa labda ilinganishwe na dar
1000068724.jpg
 
Asante kwa picha ya kitambo watchman. That area saa hii is so smooth than your ass.
Keshakasilika, haya weka hiyo picha ya sasa Bushman 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
 
hivi kumbe kwa miaka yote maendeleo kenya ni kuonesha majengo tu? hamna plan zozote walau za kuwakwamua wananchi wenu na umaskini
Yani hawa jamaa wame fail kabisa, mpaka leo mtu bado anapost Thika road wakati sisi tushaachana na Kimara-Kibaha road, now tumeongeza urefu itakuwa Ubungo-Kibaha road, hawa jamaa walichojaliwa ni midomo mirefu kama samaki chuchunge lkn on ground wako hovyo sana, Ubungo-Kibaha road πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Screenshot_20240913-083249~2.png
 
But everyone knows that Kenya is more developed than Tanzania while Tanzanians are more poorer than Kenyans.
Na ndiyo maana tunasema nyinyi ni washamba mnooo, sasa hivi vimaneno vya 90 unavileta 2024, Kenya kuna electric train?
Kenya kuna BRT?
Kenya kuna modern airport?
Kenya kuna modern stadium?
Kenya kuna umeme wa uhakika?

Bushman tembea ujionee usijifiche hapo kibera ukadhani na nchi nyingine haziendelei kama nchi yako 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
leta data sio maneno. ukisema kenyans are more developed than tanzania unatakiwa ulete ripoti au link kuonesha uhalisia usilete maneno
kwa mfano mimi naweza sema pia GDP a tanzania ni kubwa kuliko ya kenya kwa kigezo cha kuwa public debt ya kenya 68percent huku tanzania ikiwa ni 35 percent kwa hiyo tukija kwenye surplus capita uakuta tanzania bado inabaki na surplus
SIKENYATANZANIA
GDPA
113​
79.4​
PUBLIC DEBT%B
0.68​
0.35​
PUBLIC DEBTC
76.84​
27.79​
SURPLUSD=A-C
36.16​
51.61​

kwa mantiki hiyo hata muwe na GDp ya kiasi gani bado hamna surplus ya kuweza kushindana na Tanzania kwa sababu kwa surplus ambayo tunakuwanayo kutokana na uzalishaji bado tunaweza kufanya vitu vya ziada kwa usd 15.45billion na ndo maana unaona kabisa hakuna miradi mipya ambayo mnaanzisha na kila mnapopanga mnaishia kucancell miradi yenu kwa kukosa fedha
Kila siku huwa nasema humu, safi sana mkuu umepiga kwenye mshono πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Yani hawa jamaa wame fail kabisa, mpaka leo mtu bado anapost Thika road wakati sisi tushaachana na Kimara-Kibaha road, now tumeongeza urefu itakuwa Ubungo-Kibaha road, hawa jamaa walichojaliwa ni midomo mirefu kama samaki chuchunge lkn on ground wako hovyo sana, Ubungo-Kibaha road πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡View attachment 3094661
Midomo mirefu kama SGR ya Tanzania.
 
Mnafake data kama kawaida yenu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nioneshe upande wa Kunyaland kukiwa na line ya trucks nyingi kama hii zikiingia Tanzania


View: https://youtu.be/gUAeMqqe7ZQ?si=8PH-dlpnGVzgZCCi

So kuwa na truck moja ndio more trade?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£.

Remember hizo tracks zimebeba cheap items like Kitungu na nyanya, on the Kenyan side we will be exporting buses to Tanzania. One Marcopolo alone is Ksh40M, hiyo ni value ya kitungu imebebwa na trucks 20πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚.

Mnauziwa Kenya vitu havina thamani while Kenya is selling you expensive products.
 
Back
Top Bottom