leta data sio maneno. ukisema kenyans are more developed than tanzania unatakiwa ulete ripoti au link kuonesha uhalisia usilete maneno
kwa mfano mimi naweza sema pia GDP a tanzania ni kubwa kuliko ya kenya kwa kigezo cha kuwa public debt ya kenya 68percent huku tanzania ikiwa ni 35 percent kwa hiyo tukija kwenye surplus capita uakuta tanzania bado inabaki na surplus
| SI | KENYA | TANZANIA |
| GDP | A | 113 | 79.4 |
| PUBLIC DEBT% | B | 0.68 | 0.35 |
| PUBLIC DEBT | C | 76.84 | 27.79 |
| SURPLUS | D=A-C | 36.16 | 51.61 |
kwa mantiki hiyo hata muwe na GDp ya kiasi gani bado hamna surplus ya kuweza kushindana na Tanzania kwa sababu kwa surplus ambayo tunakuwanayo kutokana na uzalishaji bado tunaweza kufanya vitu vya ziada kwa usd 15.45billion na ndo maana unaona kabisa hakuna miradi mipya ambayo mnaanzisha na kila mnapopanga mnaishia kucancell miradi yenu kwa kukosa fedha