Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hao vilaza hawaijui TZ,huyo dada kila siku kuiponda TZ kama anaijua vile leo kuulizia issue ya uwanja ndio kaonesha uelewa wake mdogo wa kuijua TZ,most ya kunyan vilaza mara nyingi wakifika TZ uwa wanashtuka ndio youtubers wao wamejaa hapo dar na znz
Kitobo huyo achana naye.
Anakwambia Mkapa stadium haina hadhi ya kuwa uwanja wa kimataifa.
 
Nazikumbuka picha hizi zilipigwa mwaka 2008
Linajitetea eti.., na google earth 2024 September bado inakana kauli yako, mambo yako vile vile tokea mababu sasa ni nyie vitukuu, na imekua mbaya zaidi.., dunia ya leo ni vigumu kudanganya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣., Google Earth baba laošŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ‘‡šŸ‘‡šŸ‘‡
Screenshot_20240521-173453.jpg

Screenshot_20240521-173442.jpg
 
So you have decided to write an essay for us? We have asked you to show us the Transport System from Kundustan, you are giving us a speech. 🤣 🤣 🤣 🤣
Matumizi ya punda kwa usafiri flani pia is a system of transport kilaza.., ama ulitakaje?.., Kuna kupitia air, rail, water, roads.., ambapo punda ni moja wa matumizi, jibwa Koko wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Good morning Brethrens,
Just for your information,
Tanzania Electricity Generation Capacity is more than Kenya + Uganda Combined.
How is 3,000MW more than Kenyan 3,800MW? Alafu ujue only 40% of Tanzanian households are connected to electricity.
 
Matumizi ya punda kwa usafiri flani pia is a system of transport kilaza.., ama ulitakaje?.., Kuna kupitia air, rail, water, roads.., ambapo punda ni moja wa matumizi, jibwa Koko wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
So there is no modern Transport System in Nairobi? Why did you call it a City?
 
Linajitetea eti.., na google earth 2024 September bado inakana kauli yako, mambo yako vile vile tokea mababu sasa ni nyie vitukuu, na imekua mbaya zaidi.., dunia ya leo ni vigumu kudanganya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣., Google Earth baba laošŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ‘‡šŸ‘‡šŸ‘‡
View attachment 3093446
View attachment 3093449
Charge kwanza simu ndio uje. Maana unafanya vitu kwa haraka sana.

1726075209291.png
 
Inaelekea una uzoefu na second hand trains sana wewe DMU from Spain, scrapped locos DF8 na DF11 na outdated coaches from China.
Mbona mnakasirika mkiambiwa trains zenu ni refurbished? Hampendi kuambiwa ukweli?šŸ˜‚
 
Linajitetea eti.., na google earth 2024 September bado inakana kauli yako, mambo yako vile vile tokea mababu sasa ni nyie vitukuu, na imekua mbaya zaidi.., dunia ya leo ni vigumu kudanganya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣., Google Earth baba laošŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ‘‡šŸ‘‡šŸ‘‡
View attachment 3093446
View attachment 3093449
20240427_164637.jpg
20240427_164541.jpg

Ulivyopost kwa mbwembwe hizo picha yan kama vile unatokea nchi flan hivi ya dunia ya kwanza in contrary hizo picha unapost ukiwa umechill kwenye banda la mabati,master hauna akili
 
Back
Top Bottom