ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
We ng'ombe 🐮 huoni kama ujenzi unaendelea hapo, hujui kama Dodoma ni construction site?Robotic Buses kwenye vumbi!?
Kweli nimeamini Watanzania wengi vichaa.
Dodoma sasa eti
View attachment 3093018
Nywele zenyewe anazo basi? 90% ya wakenya wana vipara mpaka wanawake.I always don't talk with a hungry person.
Maana akili zako zipo tumboni, kichwa chako kipo tu kwaajili ya kuoteshea nywele.
wao wameumia sana na SGr ya tanzaniaHao vilaza uwa wanaangaika na shida za TZ while kwao kumeoza hadi kunanuka
Hatupapatikii mtu, nchi yetu ni blessed unataka njoo lkn uwe na pesa hutaki ondoka, hata kwao wanatufanyia hivyo hivyo, Tanzania sio Kenya wakiona mzungu tu au raia wa kigeni kutoka developed Nations wanampapatikia achukue mpaka uraia, huku kwetu uraia ndio kabisa ngumu sana.Hamjui kuishi na wageni, walikuja wakati wa Covid baada ya kukaribishwa na Maghu. Leo hii wengi wamehamia Kenya, SA, Ghana na Nigeria. Bongolalas and your petty government have frustrated them. Kila uchao huko YouTube kumejaa complaints from African Americans on why bongoslum is full of sh*t.
Tuliwaambiaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Good morning Brethrens,
Just for your information,
Tanzania Electricity Generation Capacity is more than Kenya + Uganda Combined.
😂😂😂😂😂
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1833742300771467566?s=46
View: https://x.com/larrymadowo/status/1833597692918050850?s=46
View: https://x.com/c_nyakundih/status/1833734415266074900?s=46
View: https://x.com/thestarkenya/status/1833756101604495862?s=46
View: https://x.com/rodgerskipembe/status/1833741135241470103?s=46
View: https://x.com/ntvkenya/status/1833750023311348114?s=46
View: https://x.com/magwaz3/status/1833597432216883378?s=46
😂😂😂😂😂 mbona dar port hajabadili jina
adani kula kichwa mzeee
View: https://x.com/amerix/status/1833739696523948213?s=46
Hii barabara ni mpya iko under construction, kwa chini inapita SGR.Hiyo barabara ipo under construction kama una akili timamu utagundua kwa kuiona
Munataka wawe na pesa ju bongoslum kila mtu ni omba omba, unakuta jibaba anjielewa tu vizuri lakini ana omba omba kama mtu homeless. 🤣 🤣 🤣 Tembeeni dunia ili mjifunze kuishi na wageni.Hatupapatikii mtu, nchi yetu ni blessed unataka njoo lkn uwe na pesa hutaki ondoka, hata kwao wanatufanyia hivyo hivyo, Tanzania sio Kenya wakiona mzungu tu au raia wa kigeni kutoka developed Nations wanampapatikia achukue mpaka uraia, huku kwetu uraia ndio kabisa ngumu sana.
wakivunja mkataba tu wanamlipa adani billions of money 😂😂😂😂😂
View: https://x.com/moneyacademyke/status/1833717238311882937?s=46
Napenda sana hizi changamoto zinavyotokea sasa hivi zitatuliwa kabla ya mradi kukabidhiwa kwetu na wakandarasi,kuonyesha hivi vitu ni kawaida kutokea mpaka sasa mradi bado upo kwa yep merkez,kunyan itabidi waumie tu maana ikifika dec changamoto za brt pia zitakua zishafanyiwa kazi,imagine dar yote ikiwa imezungukwa na blue buses kunyan watakavyoumiawao wameumia sana na SGr ya tanzania
sasa wanatafuta kasoro kila kukicha😂😂