ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
Endelea kujichekesha.Leta proof that hawakulipwa.😂😂🤣😂
Why are they disdaining the good Brand MAN with such Jurassic gestured jalopies?From Bus and Coach technocrats.
Master Fabricator presents to you an Emirata Episode 3 on a MAN chassis and Engine.
View attachment 3088824
View attachment 3088826
View attachment 3088827
View attachment 3088828
View attachment 3088831
Mpaka natamani kulia like seriously hii kitu ilishindwa endelezwa aseeNyerere na mao walianzisha hadi kampuni ya meli kati ya china TZ na mpaka leo bado,binafsi uncle's zangu wamezunguka sana dunia na hizo meli ambazo crews wake ni wa TZ na wachina tu,ofisi zipo pale kisutu kwa upande wa TZ,alipoingia mkapa ile kampuni ikaanza kulega lega kwa upande wa TZ,ilianza na meli 4 za bulk carrier sasa hivi walii charter kwa tajiri wa kichina ni kampuni kubwa ilikua inaitwa sinota kipindi chote mpaka serikali ya TZ na china walipoikodisha sasa hivi inaitwa cosco,ni mojawapo ya kampuni kubwa ya meli duniani ila wa TZ wengi hawajui,ofisi zipo kisutu na mpaka leo wa TZ wanafanya kazi kwenye hizo meli,(mabaharia),so ushirikiano wa TZ na china sio wa kimasihara View attachment 3087954View attachment 3087956View attachment 3087957
Kweli umeumia si mchezo hadi umerukia matusi.I wonder if the Chinese are also dickriding you this hard..................oh sorry................the average Chinese doesn't even know a country named Tanzania exists.
Na inatangaziwa siku muhimu ya Nchi ya kusherehekea miaka yao UN na Xi alafu tunaambiwa hakuna anayeijua TZ
Nyang'au Teargas amekomalia kuonyesha maghorofa na mabasi kila siku utafikiri yeye ndio anayamiliki, ha ha ha😎😎😎Mavitu mnaonesha hayana msaada wowote na mwananchi wa kawaida ambao ndio idadi kubwa ya wananchi wenu na any means ya chakula bora kwa siku. Nyie humu kama watchmen wa magetini huko Kareen hata simu zeni ni mbovu na mavazi ni duni, hizi Jaguar ananunua nani?
Nishawambia Wakenya uwanja wa Arusha utaisha kabla ya huuI can smell something Juakali in the making. Chinese sucks hard 😀
Hilo Jengo la Mahakama ni kubwa sana... Picha zinaliscale downMesmerizing Dodoma. There’s beauty in building your capital city from the scratch.
Zero Chinese influence, neither USA. unlike some wretched unfortunate neighbors, with silly President consistently traveling abroad to beg. View attachment 3088982View attachment 3088983View attachment 3088983View attachment 3088982
Uwanja wa Arusha is 30k seats, Talanta ni 60k. There’s no way they can be compared 😂😂🤣😂Nishawambia Wakenya uwanja wa Arusha utaisha kabla ya huu
Uwanja wa Arusha ni more modernUwanja wa Arusha is 30k seats, Talanta ni 60k. There’s no way they can be compared 😂😂🤣😂
More modern my foot? Did modernity change its meaning?Uwanja wa Arusha ni more modern
Second hand wagons.