Deluxe ina engine mpya sio kama hizo mkuu.duu hi si kama deluxe ya kigoma hii
Daily dose 👇👇From Bus and Coach technocrats.
Master Fabricator presents to you an Emirata Episode 3 on a MAN chassis and Engine.
View attachment 3088824
View attachment 3088826
View attachment 3088827
View attachment 3088828
View attachment 3088831
📌📌📌🔨 Maumivu ya wivu 😂😂Second hand wagons.
Nyang'auTeargas akiona hivi huwa anajikaza kisabuni😎😁😂Yaani watu hawaogopi kukaa na kujifananisha na Tanzania?😂
Reli ina so many type of cars and locomotives, EMU achilia mbali Reli ni Ndefu kulilo midomo ya Wakundustan 😂 ikielekea kuunganisha nchi kibao.
Hapo hujaongelea TAZARA pia inayounganisha hadi South Africa, yaani watu hawaogopu kabisa? Kweli kuna mafuvu mabovu😂
Kiufupi hatufanani na Mbwa yoyote ukanda huu 😂 Happy weekend.
Mavitu mnaonesha hayana msaada wowote na mwananchi wa kawaida ambao ndio idadi kubwa ya wananchi wenu na hawana any means ya chakula bora kwa siku. Nyie humu kama watchmen wa magetini huko Kareen hata simu zeni ni mbovu na mavazi ni duni, hizi Jaguar ananunua nani?Kenya is a regional powerhouse just like South Africa, Egypt or Nigeria. Kama hakungekua na soko, JLR hawangekua na dealership Nairobi.
![]()
![]()
![]()