NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,388
- 17,969
Nikuogope wee muendesha mkokoteni kisa umeweza kujua gari langu ni aina gani? 🤣 🤣 🤣Haiondoi kuwa gari ni chafu na inaonesha kuwa wewe ni mchafu sana. Just kusafisha ndani kwa kutumia kitambaa tu unashidwa?
Issue ya kuwa na company and so on hayo ni private life yako we don't care.
Hiyo ni Isuzu kama niliyosema.
Uniogoepe
Enyewe una shida. Hapa mimi ukinionyesha Bugatti kwa ndani nitakuambia hiyo ni Bugatti tena model yenyewe nitakupa ila sina uwezo wa kuinunua hiyo Bugatti, sasa pia nipige kelele eti mniogope kisa naweza itambua Bugatti kwa ndani? Wewe baki hapo ukigoogle magari wakati wanaume wengine wanayanunua. 🤣🤣