lolypop JF-Expert Member Jul 29, 2015 2,430 1,681 Jun 23, 2021 #1 Watanzania wenzetu tunatuhumiwa na wakenya kwamba tumekuwa kidnappers. Tunakwama wapi jamani
RRONDO JF-Expert Member Jan 3, 2010 51,933 108,603 Jun 23, 2021 #2 Someone hacked his account? Or fake account?!
T The Assassin JF-Expert Member Oct 30, 2018 4,355 17,328 Jun 23, 2021 #3 Sonko dishi lilishayumba kitambo sio mtu wa kumtilia maanani hata kidogo. Sonko na Nabii Tito ni maji na samaki.
Sonko dishi lilishayumba kitambo sio mtu wa kumtilia maanani hata kidogo. Sonko na Nabii Tito ni maji na samaki.
lolypop JF-Expert Member Jul 29, 2015 2,430 1,681 Jun 23, 2021 Thread starter #5 RRONDO said: Someone hacked his account? Or fake account?! Click to expand... Hapana hata citizen wamereporty
RRONDO said: Someone hacked his account? Or fake account?! Click to expand... Hapana hata citizen wamereporty
lolypop JF-Expert Member Jul 29, 2015 2,430 1,681 Jun 23, 2021 Thread starter #6 Hakimu Mfawidhi said: Sonko dishi lilishayumba kitambo sio mtu wa kumtilia maanani hata kidogo. Sonko na Nabii Tito ni maji na samaki. Click to expand... Na citizen wamezungumzia hili ni hatari sana kwa masuala ya deplomacy yetu na Kenya
Hakimu Mfawidhi said: Sonko dishi lilishayumba kitambo sio mtu wa kumtilia maanani hata kidogo. Sonko na Nabii Tito ni maji na samaki. Click to expand... Na citizen wamezungumzia hili ni hatari sana kwa masuala ya deplomacy yetu na Kenya
RRONDO JF-Expert Member Jan 3, 2010 51,933 108,603 Jun 23, 2021 #7 Kachengcheng said: Nimekumbuka Albino😳 Click to expand... Naona Sonko umekuja kujitetea.
Kachengcheng JF-Expert Member Dec 21, 2020 1,551 978 Jun 23, 2021 #8 RRONDO said: Naona Sonko umekuja kujitetea. Click to expand... 😆Nikupitia tu
N Nyumisi JF-Expert Member Nov 10, 2010 13,405 19,072 Jun 23, 2021 #9 Sonko ndo yule mvuta bangi? siwezi kushangaa.....
F Full Blood Picture JF-Expert Member Jan 7, 2021 1,518 2,455 Jun 23, 2021 #10 Hakimu Mfawidhi said: Sonko dishi lilishayumba kitambo sio mtu wa kumtilia maanani hata kidogo. Sonko na Nabii Tito ni maji na samaki. Click to expand... Maji na samaki = Mchuzi na mboga
Hakimu Mfawidhi said: Sonko dishi lilishayumba kitambo sio mtu wa kumtilia maanani hata kidogo. Sonko na Nabii Tito ni maji na samaki. Click to expand... Maji na samaki = Mchuzi na mboga