Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio kejeli tanzaia haiwezi jenga upuuzi kama huo sisi tunajenga modern infastructure sio upuuzi huo 😂😂😂😂
Tuoneshe hizo modern infrastructure mlizojenga tuone tuone. Show me any kind of that road in Tanganyika outside Dar
 
Hizo gari mbona hatuzioni barabarani zaidi ya probox 99%
Utazionanaje wakati umeshindwa hata kusafisha kucha zako?
IMG_0483.jpeg
 
Mzee wa apartment, yn yeye akipigwa tu atakuwekea hivi vipicha miaka nenda rudi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nazileta coz you don't have them down there. Unatamani sana ila too bad jiji lenu ni uswazi kushoto kulia
 
Underdogs inachapa your best teams like nobody’s business.😂😂🤣👇👇

Gor Vs Yanga 4-0
Gor Vs Yanga 3-2
Gor Vs Simba 2-0
Kariobangi Sharks Vs Yanga 3-2
Story za zilipendwa.
Gormahia imefungwa na El merreikh ambayo Yanga imeifunga nje ndani.
 
They only managed because there were no Kenyan teams in the competition due to FIFA ban😂😂🤣
Ona huyu anaropoka nini.
El merreikh ina misimu miwili haijashiriki ligi kwa vita zinazotokea Sudan.
Ila imewafunga.
Yanga sasa hivi sio saizi yenu,Yanga ni klabu ya 13 kwa ubora Africa.
Gormahia hata top 20 haipo.
 
Back
Top Bottom