Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha kukurupuka. Kasema Morogoro sio Dodoma.
Kuna kakipande kutoka Main road ndo kako unpaved sio kwamba kuna 10km...

Uko unatafuta faraja. Endeleeni na gari moshi zenu hizo
Mimi ntaamini huyo ambassador and not you. Amasema there’s nothing around the 10km stretch and the roads are unpaved😂😂
 
Hata ya Dodoma hakuna lami😂😂🤣. All Kenyan SGR stations are connected with tarmac roads.
Hki unachoongea unatoa wapi🤣 station ya dodoma inatazamana na Main road inayokwenda iringa. VP bna wew🤣🤣🤣
 
Watakwambia treni ya kesho kutwa tayari iko fully booked kumbe wanapika data 😃
Fully booked makwapa 😂😂🤣🤣😂.

Mimi kila siku naona empty seats in those SGR trains photos. Na wenye wamepanda wanalipa 50 bob kufika Dodoma from Dar😂😂🤣
 
Hki unachoongea unatoa wapi🤣 station ya dodoma inatazamana na Main road inayokwenda iringa. VP bna wew🤣🤣🤣
Kutazamana sio shida. Show us the connecting road before nikuonyeshe barabara ya vumbi huko😂😂🤣
 
Office space is understable! Ila the whole Mosque being counted as office/retail space, a big NO! That happens only in Ukunduni!
Is it a space or a vacuum?😂😂🤣.

Jengeni mall yenu ya kwanza ndio uanze kuongea hapa😂🤣🤣
 
Morogoro sio Tanzania?? The fact hapo ni Moro makes it worse kabisa sababu its closer to dar slum than Dom. Mwenzenu ameingia migori Jana kila mahali ni carpet alafu tukiiwaita vumbi nation mnanuna
Jamaa aliingia village ya Migori and after tulimexpose aliacha kutuma picha😂😂🤣
 
Leta tuone bongolala. Unafikiri Nairobi pia ni jiji la kishamba kama hiyo yenu ilijazwa uswazi kila Kona na mpangilio wa kihovyo?

This is an organized city, not some glorified fishing village I knowView attachment 3072661View attachment 3072662View attachment 3072665View attachment 3072669View attachment 3072670View attachment 3072671View attachment 3072673View attachment 3072684View attachment 3072667
Mzee wa apartment, yn yeye akipigwa tu atakuwekea hivi vipicha miaka nenda rudi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jamaa aliingia village ya Migori and after tulimexpose aliacha kutuma picha😂😂🤣
Alikuja Mombasa akaondoka bila picha mbovu, saivi ameibuka migori akitafuta sehemu mbovu na microscope bado mambo ni vile vile ...
 
Inawezekana kusoma kiswahili hujui 😂😂😂😂
Hello baboon I can see you are back. How is the forest?😂😂🤣👇👇

IMG_0485.jpeg
 
Back
Top Bottom