Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ona huyu kuku sijui anaongea nini.
Kiswahili kinaanziaje sehemu ilhali sehemu haijawa mji!?
Hiyo Lamu kabla hata haijajulikana kuwa Lamu ZANZIBAR NA KILWA ZILIKUA MIJI MIAKA 300 PLUS ILIYOPITA.
Kiswahili kilianzia pwani ya Tanzania na mizizi yake ya lugha ni kibantu,kiarabu na lugha zingine za kigeni.
Tena kuna ushahidi wa kiswahili kuanza kuandikwa kwa kutumia herufi za kiarabu ambazo karatasi zingine ziliandikwa na Chief Mkwawa.
Kiswahili kama sio kibantu cha Afrika mashariki hususan Tanganyika kuunda sauti za nasibu zinazoendana na lugha ya kiarabu basi kisingezaliwa.
Najua historia kuliko hata wewe.
Lugha inaanzaje kwao wakati hata hawaijui lugha yenyewe. Wakenya ni watu wa kudandia tu kujipatia sifa za kijinga.
 
Long time ago. Tumeshatoka huko. Also haidoi kuwa Kenya Police is Underdog

You are living in the past
Mlitoka lini? Hata hiyo Kenya Police ikikutana na hiyo Simba bado Simba watapata tu kichapo😂🤣😂.
 
Mlitoka lini? Hata hiyo Kenya Police ikikutana na hiyo Simba bado Simba watapata tu kichapo😂🤣😂.
Tupatie Statistics za Kenya Police. Za Simba Queens hizi hapa:-

1724163018441.png
 
Sisi huwa tunacheka miradi yenu mingi mnajenga kijuakali, kwa mfano hiyo road mlitaka mjenge kama hii 👇 👇 View attachment 3073206
Mkaishia kupata kitu kama hiki 👇 👇 View attachment 3073207
Tukisema ni jua kali mnakasirika, sisi watanzania tukiamua kujenga tunajenga kweli, hakuna ubabaishaji kama kwenu.
Says a man who sees such roads only in his capital city. Now that is juskali, show us the better ones you've built in your towns. Usiwe unatumia maneno mengi hapa kujifariji wakati Kwa ground hamba kitu
 
Umeenda hospitali wewe mzee ?😂😂🤣 Na ulitoka huko usafishe kucha jinga hii😂😂🤣

View attachment 3073194View attachment 3073195
Kucha
IMG_0483.jpeg

Alafu sura na mavazi! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
1723741181761.jpeg

Mdomo inakaa kama ya ngiri.

Yani mtu hawezi hata practice good grooming amantain hata kucha zake alafu yupo busy kutupigia kelele hapa na kutumia matusi humu. Si hiyo nguvu yote atumie kusafisha kucha zake na kununua manguo za maana? Bure kabisa!
 
Back
Top Bottom