Usitake kutudanganya hapa.Hakuna mwenye hutosheka na pesa. Hata wakilipwa a billion each bado wataandamana tu.
Tulikua tukitizama habari raia wakilalamika kipindi cha maandamano kuwa maisha yako juu sana kiasi hayaendani na hela wanayotafuta.
Yani kama ukisema upige mahesabu basi ni sawa hadi mkate unaulipia kodi ama ushuru.
Usidhani sisi tulikua hatufuatilii,na hapa East Africa Kenya ndio mnaongoza kwa inflation rate.