Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona anatudanganya huyu!?😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁
Kiswahili kimeanzia pwani ya Tanganyika miji ambayo ilikua kabla hata ya miji ya Lamu na Mombasa.
Na kiswahili asilimia 60 ni maneno ya kibantu asilimia ilobaki ni maneno ya kutoholewa lugha za kigeni.
Kiswahili na miji wapi na wapi? Kiswahili kimeanza kabla ya mji wowote hapa East Africa. Kiswahili kimeitangulia Kilwa na Zanzibar. Kiswahili kimeanzia Lamu kabla Lamu uwe mji. Soma historia.
 
Kiswahili na miji wapi na wapi? Kiswahili kimeanza kabla ya mji wowote hapa East Africa. Kiswahili kimeitangulia Kilwa na Zanzibar. Kiswahili kimeanzia Lamu kabla Lamu uwe mji. Soma historia.
Wewe kwa ile hostoria mliyosoma una kipi cha kuzungumza au kumtambia mtu kuhusu historia ya lugha .? 😂😂😂 kiswahili chenyewe hujui kuzungumza.. jinga kweli wewe.
 
Wewe kwa ile hostoria mliyosoma una kipi cha kuzungumza au kumtambia mtu kuhusu historia ya lugha .? 😂😂😂 kiswahili chenyewe hujui kuzungumza.. jinga kweli wewe.
Baboon anaita binadamu jinga. It’s really worrying 😂😂🤣👇👇

IMG_0485.jpeg
 
Kiswahili na miji wapi na wapi? Kiswahili kimeanza kabla ya mji wowote hapa East Africa. Kiswahili kimeitangulia Kilwa na Zanzibar. Kiswahili kimeanzia Lamu kabla Lamu uwe mji. Soma historia.
Ona huyu kuku sijui anaongea nini.
Kiswahili kinaanziaje sehemu ilhali sehemu haijawa mji!?
Hiyo Lamu kabla hata haijajulikana kuwa Lamu ZANZIBAR NA KILWA ZILIKUA MIJI MIAKA 300 PLUS ILIYOPITA.
Kiswahili kilianzia pwani ya Tanzania na mizizi yake ya lugha ni kibantu,kiarabu na lugha zingine za kigeni.
Tena kuna ushahidi wa kiswahili kuanza kuandikwa kwa kutumia herufi za kiarabu ambazo karatasi zingine ziliandikwa na Chief Mkwawa.
Kiswahili kama sio kibantu cha Afrika mashariki hususan Tanganyika kuunda sauti za nasibu zinazoendana na lugha ya kiarabu basi kisingezaliwa.
Najua historia kuliko hata wewe.
 
Ndege wamepewa bure na serikali
Parking hawalipi wamepewa waiver
Bill ya mafuta inapelekwa ikulu
Hasara tangia 1970 😂😂😂
meta ushahidi wamepewa bure na serekali leta ushahidi hawalipi parking leta ushahidi bill inaenda ikulu nifunge acc sasa hvi, au ni hasira tu 😂😂😂😂

Nani hajui kama air tanzania imefufuliwa na magufuli just 5yrw ago wakenya wenzio taarifa wanayo 😅😅
 
Wewe kwa ile hostoria mliyosoma una kipi cha kuzungumza au kumtambia mtu kuhusu historia ya lugha .? 😂😂😂 kiswahili chenyewe hujui kuzungumza.. jinga kweli wewe.
Kuku wa kizungu huyu,eti anakwambia lugha na mji haviendani.
Anakwambia kiswahili kimeanza Lamu kabla haujawa mji,sasa waliokua wakiongea ni kina nani?
Au mizimu na majini ya Lamu ndio iliunda sauti za nasibu!?
😂😂😂😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom