Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wengi wao hapa wanatumia maneno ya kejeli na dharau Kwa projects kama hizi kutoka Kenya lakini deep down wanatamani sana na kujiuliza where the rains started beating them. Denial itawaua.

Na wangejua that is just Kisii town Wala sio Nairobi au Mombasa😂😂
Sisi huwa tunacheka miradi yenu mingi mnajenga kijuakali, kwa mfano hiyo road mlitaka mjenge kama hii 👇 👇
Screenshot_20240813-214700~2.png

Mkaishia kupata kitu kama hiki 👇 👇
1722580442328.jpg

Tukisema ni jua kali mnakasirika, sisi watanzania tukiamua kujenga tunajenga kweli, hakuna ubabaishaji kama kwenu.
 

Attachments

  • Screenshot_20240813-214700~2.png
    Screenshot_20240813-214700~2.png
    835.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240813-214700~2.png
    Screenshot_20240813-214700~2.png
    835.5 KB · Views: 3
I’m just stating facts😂😂🤣. Ama ni uongo kwamba SGR ya Tanzania imekwama mara tano within a period of one month?😂😂🤣
Shakira Mohamed unamfahamu? Kwanini alikufukuza? Nursing ulisomea miaka mingapi?

Jibu maswali yangu
 
Acha kujifanya mwanaume. Halafu hapa tunaandika kwa kiswahili. Tuambie Shakira Mohamed unamfahamu?
That Kiswahili you are talking about could have made you proud of yourself uache kuiba picha za wanaume wengine 😂😂🤣🤣😂
 
That Kiswahili you are talking about could have made you proud of yourself uache kuiba picha za wanaume wengine 😂😂🤣🤣😂
Jibu maswali yangu kwanza:
Shakira Mohamed unamfahamu? Kwanini alikufukuza? Nursing ulisomea miaka mingapi?
 
Jibu maswali yangu kwanza:
Shakira Mohamed unamfahamu? Kwanini alikufukuza? Nursing ulisomea miaka mingapi?
Mbona unaiba picha za wanaume wengine? Are you ashamed of yourself?😂😂🤣🤣😂
 
Kule kwao hata hawana aibu. Wanapea ambassadors Queen cake moja wrapped na zile juala za bob bob😂😂🤣👇👇

1723971590887.jpeg
 
Wrong Answer. Umeshindwa kujibu maswali simple hivyo utaweza Math kweli?

Hebu jaribu kujibu moja moja
Shakira Mohamed unamfahamu?
Why are you ashamed of yourself?😂😂🤣😂
 
Back
Top Bottom