Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe nimekushinda na hilo is no longer a discussion. Ken pia amekushinda😂😂👇👇


Yani mwenye ako na Gari ashindwe kununua nguo? Watanzania mko na maneno kweli😂😂🤣
View attachment 3070873View attachment 3070876View attachment 3070878View attachment 3070879View attachment 3070881
Mambo ya kitoto haya unaleta, na hii inathibitisha jinsi gn tulivyokubabanisha na fake life yako, yani uchukue simu nyingine ujitumie msg mwenyewe alafu ujijibu u screen shot alafu utume humu ili kuondoa aibu uliyoweka humu siku ya leo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Alafu kuonesha ufukara ulionao unakusumbua eti unaongelea mambo ya gari ndio ionekane haukuwa na mafukara wenzio 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

My take: Mibaba mizima bado mnasoma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mambo ya kitoto haya unaleta, na hii inathibitisha jinsi gn tulivyokubabanisha na fake life yako, yani uchukue simu nyingine ujitumie msg mwenyewe alafu ujijibu u screen shot alafu utume humu ili kuondoa aibu uliyoweka humu siku ya leo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Alafu kuonesha ufukara ulionao unakusumbua eti unaongelea mambo ya gari ndio ionekane haukuwa na mafukara wenzio 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

My take: Mibaba mizima bado mnasoma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na convo yenyewe ni yaleo😅😂😂😂
 
Teargas ukiona wakihate wahurumie, ndio hawa picha zao hizi. 🤣 🤣 🤣
View attachment 3070831View attachment 3070832View attachment 3070833
screenshot_20240220-111607_1-jpg.2909845
We nae unataka tumuweke mzee humu uanze kulia lia kwa mods, nakushauri wacha hii maneno huwezi kabisa, tena wewe ni mwepesi kuliko paper 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mambo ya kitoto haya unaleta, na hii inathibitisha jinsi gn tulivyokubabanisha na fake life yako, yani uchukue simu nyingine ujitumie msg mwenyewe alafu ujijibu u screen shot alafu utume humu ili kuondoa aibu uliyoweka humu siku ya leo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Alafu kuonesha ufukara ulionao unakusumbua eti unaongelea mambo ya gari ndio ionekane haukuwa na mafukara wenzio 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

My take: Mibaba mizima bado mnasoma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naona uko negotiation stage na ushashikwa na baridi pia😂😂🤣🤣 ama 2022 pia nilikuwa najitumia messages?😂😂👇👇

Screenshot_20240815-164023_1.jpg
 
Hata kama ndo uvae nguo yenye imechanika ukashona kwa mkono?😂
Tanzanians have poor mindset, they think that ukiwa na pesa lazima uvae clads and trending clothes. No wonder most of them are poor😂😂🤣


Kuna mwingine niliona amenunua viatu vya 500 bob na ako na bedsheet moja😂😂🤣.

Anyway this the mentality between poor and rich people.

View attachment 3070792
 
I’m a proud owner of a car at 27yrs years. What do you own? Uko 35yrs na huna hata kitanda😂😂🤣
27yrs ndio hili libaba kubwa namna hii? Tangu 2017 we upo 27yrs kila siku hivyo hivyo, kukua hutaki lkn unataka maisha mazuri, utapumuliwa kisogoni bwege wewe.
Screenshot_20240815-124316~2.png
 
Back
Top Bottom