Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Huko hata na Baiskeli? Gari yake ni ya 2015, only 0.5% of Tanzanians with car has cars of that year and above😂😂🤣Hiyo gari ni brand New?
Huko hata na Baiskeli? Gari yake ni ya 2015, only 0.5% of Tanzanians with car has cars of that year and above😂😂🤣Hiyo gari ni brand New?
Yeye ni huyu sio yule mwenye Ndola😂😂😂😂 na T-shirt yake ya ukimwi unaua 😂😂😂😂Ok onesha mshono kwenye hiyo t-shirt ya Bill Gate ili niamini maneno yako.View attachment 3070776
Mimi kaka naangalia more details check zaidi kaka 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 Kuna maji yanavuja hapaMkuu huo ni mshono kaka, t-shirt imevaliwa mpaka imechanika akashona, angalia vzr hapa 👇 👇 View attachment 3070783
Umejuaje ni second hand? Kwani ulikuwa akinunua? Mmezoea mitumba mnaona kila mtu anavaa mitumba. Hata huku Kenya wauza mitumba wote ni wabongo.Unahakika kuwa hiyo t-shirt ya Bill Gates ni second hand kama huyo mkunya?
Nani huyo? Ebu quote post nicheke.😂🤣Hawa watu ni maskini bwana😂😂🤣. Alafu kuna mwenye anakuambia ati hakuna vile unaezaingia 5*Hotel ukiwa na T-Shirt. Kama sio ushamba ni nini jameni😂😂🤣
These people 😂😂😂😂Mimi kaka naangalia more details check zaidi kaka 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 Kuna maji yanavuja hapa
View attachment 3070784
Alafu pia mpost picha zenu, sio kila mara mtu akipost mnatoa makosa pasipo na makosa yet mnaokota picha za wanaume wengine mkiziita zenu. Ushasahau ulipost picha ya mwanaume mwengine ukajifanyia yako humu? 🤣 🤣Mimi kaka naangalia more details check zaidi kaka 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 Kuna maji yanavuja hapa
View attachment 3070784
Hawa hapa wazee wa faivu sitaa oteli 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nani huyo? Ebu quote post nicheke.😂🤣
Tanzanians have poor mindset, they think that ukiwa na pesa lazima uvae clads and trending clothes. No wonder most of them are poor😂😂🤣Kwa hivo uko better than Bill Gates kisa amevaa T-Shirt? Wacha ushamba. Wengine wetu T-shirt and jeans is our favorite. Suti tunavaa tu kwa official events.
![]()
Naona watchman amedelete hiyo comment😂😂Nani huyo? Ebu quote post nicheke.😂🤣
Signs za kushindwa.😂😂Naona watchman amedelete hiyo comment😂😂
Ukiambiwa rich people wanavaa simple clothes sio kama hizi mzee wa faivu sitaa oteli 👇 👇 🤣 🤣Tanzanians have poor mindset, they think that ukiwa na pesa lazima uvae clads and trending clothes. No wonder most of them are poor😂😂🤣
Kuna mwingine niliona amenunua viatu vya 500 bob na ako na bedsheet moja😂😂🤣.
Anyway this the mentality between poor and rich people.
View attachment 3070792
Nyinyi endeleeni kuwa na fikra za umaskini😂😂🤣👇👇👇Ukiambiwa rich people wanavaa simple clothes sio kama hizi mzee wa faivu sitaa oteli 👇 👇 🤣 🤣 View attachment 3070796View attachment 3070798View attachment 3070800
Imeuma watchman sana ati yeye amezoea vibanda lakini kuna wenye wanakula kwa 5* Hotels😂😂🤣Signs za kushindwa.😂😂
Sasa kwanini mnavaa second hand clothes?Huko hata na Baiskeli? Gari yake ni ya 2015, only 0.5% of Tanzanians with car has cars of that year and above😂😂🤣
Wewe kama umezoea second hand usidhani wote ni kama wewe😂😂🤣.Sasa kwanini mnavaa second hand clothes?
Mzee ikiwa wewe ni huyu👇🏾Tanzanians have poor mindset, they think that ukiwa na pesa lazima uvae clads and trending clothes. No wonder most of them are poor😂😂🤣
Kuna mwingine niliona amenunua viatu vya 500 bob na ako na bedsheet moja😂😂🤣.
Anyway this the mentality between poor and rich people.
View attachment 3070792
Sio kwamba hatujipost, huwa tunajipost sema kutokana na jinsi tulivyoumbwa vzr watanzania mnahisi tumeweka picha za watu wengine 🤣🤣🤣🤣Alafu pia mpost picha zenu, sio kila mara mtu akipost mnatoa makosa pasipo na makosa yet mnaokota picha za wanaume wengine mkiziita zenu. Ushasahau ulipost picha ya mwanaume mwengine ukajifanyia yako humu? 🤣 🤣
Huyo sio mimi. Najua unatamani huyo awe mimi😂😂🤣Mzee ikiwa wewe ni huyu👇🏾View attachment 3070808😂😂😂 tafuta hela mzee ununue wala T-shirt na viatu mkuu 😂😂😂