Kijana mdogo wa miaka 25 amekuja Bongo amejenga nyumba kali kushinda hata maceleb wenu na ameanzisha biashara alafu anawachocha mnaona mmefika? 🤣 🤣 🤣 Unajua kitu kinaitwa marketing? Ukienda kwa watu kufanya biashara you make them feel special, hapo watanunua bidhaa zakp kama upuzi. Ndio maana tunainvest kwenu, huku kwetu labda hao mabillionea wenu wahindi na Waarabu ndio wanaweza piga investments. Nyinyi weusi hamjui niashara.🤣 🤣
Alafu kuna vitu hujasema.
1. Pale aliposema Wabongo hawajui Air BnB ni nini (12:46). bado mko nyuma sana ya nyakati.
2. Hapo Bongo wanatambua Wakenya, they believe Kenyans have a lot of money. (17:46)
3. In Arusha, there are many buildings owned by Kenyans. (20:06)