Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Loan ikikata mtaenda kuchukua nyingine Ili Shilingi iwe stable au? 😁😁😁
It's already stable bongolala. Huoni madafu imelemewa?
Screenshot_20240813-175842.jpg
 
Hii imewasaidia nn kuondokana na fedheha ya njaa na maandamano ya unga, mnapenda sana sifa za kijinga wasenge nyinyi.
20240814_072715.jpg

Njaa inawapeleka vibaya sana kunyan,TZ huwezi kukuta kitu kama hii,kunyan ni maskini mno,hapo yule polisi na yy anataka aokote water melon angalau na yy apate milo 2 kwa hiyo siku
 
Kijana mdogo wa miaka 25 amekuja Bongo amejenga nyumba kali kushinda hata maceleb wenu na ameanzisha biashara alafu anawachocha mnaona mmefika? 🤣 🤣 🤣 Unajua kitu kinaitwa marketing? Ukienda kwa watu kufanya biashara you make them feel special, hapo watanunua bidhaa zakp kama upuzi. Ndio maana tunainvest kwenu, huku kwetu labda hao mabillionea wenu wahindi na Waarabu ndio wanaweza piga investments. Nyinyi weusi hamjui niashara.🤣 🤣

Alafu kuna vitu hujasema.
1. Pale aliposema Wabongo hawajui Air BnB ni nini (12:46). bado mko nyuma sana ya nyakati.
2. Hapo Bongo wanatambua Wakenya, they believe Kenyans have a lot of money. (17:46)
3. In Arusha, there are many buildings owned by Kenyans. (20:06)
Ardhi ya Tanzania sio sherabera kama ya kenya kwamba kila mtu anaweza miriki
 
We pimbi, sheria zingine hua za kuliwaza watu maskini kama wewe. Waarabu wanamiliki Ngorongoro na wanafanya vile wanataka hadi wakawafukuza wamasaai wenye walikua wanamiliki ardhi huko.
Wewe mama ardhi ya tz sio sherabera sasa mwarab unaweza fananisha na mkenya? Nyie tu ardhi yenu hamuwezi miliki mmewaachia wa kidinilezungu na kenyatta family
 
Kampuni ikisajiliwa Tz ina haki ya kumiliki ardhi. Hata Mkenya anaweza kumiliki ardhi Tz kama ana kampuni iliosajiliwa Tz ila sio kama yeye binafsi.
Still ownership. Just in a bureaucratic way but still ownership. Doesn't change the fact that Kenyans own many buildings in Arusha. Hata hapa Kenya vitu vingi tunavimiliki kupitia kampuni tulizosajili.
 
Kijana mdogo wa miaka 25 amekuja Bongo amejenga nyumba kali kushinda hata maceleb wenu na ameanzisha biashara alafu anawachocha mnaona mmefika? 🤣 🤣 🤣 Unajua kitu kinaitwa marketing? Ukienda kwa watu kufanya biashara you make them feel special, hapo watanunua bidhaa zakp kama upuzi. Ndio maana tunainvest kwenu, huku kwetu labda hao mabillionea wenu wahindi na Waarabu ndio wanaweza piga investments. Nyinyi weusi hamjui niashara.🤣 🤣

Alafu kuna vitu hujasema.
1. Pale aliposema Wabongo hawajui Air BnB ni nini (12:46). bado mko nyuma sana ya nyakati.
2. Hapo Bongo wanatambua Wakenya, they believe Kenyans have a lot of money. (17:46)
3. In Arusha, there are many buildings owned by Kenyans. (20:06)
Usikute huyo mleta hiyo mada ni mtu mzima kama geuzwa ulambwe, kijana mdogo kama mimi tayari ni investor vumbistan 😂😂
 
Mkenya akiri hakuna slums Tanzania asema masikini wa Tanzania anaishi vizuri kuliko middle class wa Kunyaland asema nyumba zote Tanzania ni za matajiri Kunyaland 😂😂😂

Wakenya wachanganyikiwa na Tanzania mmoja anasema anataka kuhamia Tanzania mwingine anasema kipindi wamekuja na wazazi wake wali tafuta mpaka shule wahamie Tanzania,


View: https://youtu.be/DFSmUvVFedE?si=l6VuYMzDN_wFNIff

Huyo anawachocha tu hili msupport channel yake COUPLE LOYALTY TEST. Mnapelekwa na maji na mko hapo mnapiga makofi😂😂😂🤣.

Anyway huyo Kijana ndio huyu hapa, hawezi tamani kuhamia Tanzania hata siku moja.

1723633504427.jpeg
 
Back
Top Bottom