Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Labda wanataka watu wengine wapande mabasi...maana wanawahurumia sana hao watu walioshindwa kuwa wabunifu..

Mtu ni kiongozi wa TRC unaanza kuongelea adhari yako kwa mabasi..sio kuhudumia watz wengi kwa wakati...

Hiv ujenzi kuelekea ISAKA unaendelea au ndo umekwama kabisa...maana serikali wote wapo kimya kazi kusifia yaliyokwishafanyika
Walitakiwa waweke afternoon service moja pia.
 
Labda wanataka watu wengine wapande mabasi...maana wanawahurumia sana hao watu walioshindwa kuwa wabunifu..

Mtu ni kiongozi wa TRC unaanza kuongelea adhari yako kwa mabasi..sio kuhudumia watz wengi kwa wakati...

Hiv ujenzi kuelekea ISAKA unaendelea au ndo umekwama kabisa...maana serikali wote wapo kimya kazi kusifia yaliyokwishafanyika
Ni vitu vya kipumbavu kweli utafikiri walivyokua wanajenga hawakujua nini matokeo, kitu ninachoishangaa serikali ya Tanzania mara nyingi ni hii tabia ya kutaka kumridhisha kila mtu, tumelemaa kwenye kuleana na kuhurumiana hata pale ambapo tunapaswa kusema hii ni nyeusi hii ni nyeupe hata kama ni mbaya lakini inapaswa kuwa hivi

Siasa zinapoingilia professionalism matokeo yake ndio kama haya, kisa kuna wana ccm huko wenye biashara za mabasi ndio maana wanafanya mambo ya hovyo kiasi hiki, technology is brutal sometimes, kipindi dunia inahama kutoka kwenye manpower kwenda industrial revolution hapakuwa na tabia za kijinga kama za hii serikali ya Tanzania lasivyo mpaka saivi tungekuwa stone age, lazima tukubali mabadiliko chanya na side-effects zake, serikali inaacha kufocus kwa majority inaangalia wa bunge wawili au wafanyabishara watano 🚮🚮🚮
 
Ni vitu vya kipumbavu kweli utafikiri walivyokua wanajenga hawakujua nini matokeo, kitu ninachoishangaa serikali ya Tanzania mara nyingi ni hii tabia ya kutaka kumridhisha kila mtu, tumelemaa kwenye kuleana na kuhurumiana hata pale ambapo tunapaswa kusema hii ni nyeusi hii ni nyeupe hata kama ni mbaya lakini inapaswa kuwa hivi

Siasa zinapoingilia professionalism matokeo yake ndio kama haya, kisa kuna wana ccm huko wenye biashara za mabasi ndio maana wanafanya mambo ya hovyo kiasi hiki, technology is brutal sometimes, kipindi dunia inahama kutoka kwenye manpower kwenda industrial revolution hapakuwa na tabia za kijinga kama za hii serikali ya Tanzania lasivyo mpaka saivi tungekuwa stone age, lazima tukubali mabadiliko chanya na side-effects zake, serikali inaacha kufocus kwa majority inaangalia wa bunge wawili au wafanyabishara watano 🚮🚮🚮
Tatizo tunakumbatia wazee wenye akili za kijamaa bado. Wazee huwa wako conservative...sisi tunafanya hiv..ndo wamejaa hadi CCM huko
Bado wazee wengi Tanzania hawajaingia free economy bado. Dunia ya sasa hakuna kuhurumiana wala kuchekana. Tanzania ni nchi kubwa sana. Mabus yanaweza anzia Dodoma wakitaka. Wanaweza omba hata wapark pale mbele Dodoma stesheni kwa muda kuchukua abiria wa mikoa mbalimbali.

Kimsingi ili Tanzania tuendelee tunaitaji mtu mchangamfu anayejua Dunia ya sasa ikoje sio wanaokumbatia sera za mwalimu.

Hii SGR ya Dodoma to Isaka mbona wako kimya sana... hakuna kinachoendelea?
Mama mwenyew aongelei hii? Nilitegemea akitoka pale Dodoma kwenye ufunguzi aende akague SGR ya kuelekea Isaka na atoe maelekezo... maana mkataba waliosaini unakaribia kuisha sasa.
 
Tatizo tunakumbatia wazee wenye akili za kijamaa bado. Wazee huwa wako conservative...sisi tunafanya hiv..ndo wamejaa hadi CCM huko
Bado wazee wengi Tanzania hawajaingia free economy bado. Dunia ya sasa hakuna kuhurumiana wala kuchekana. Tanzania ni nchi kubwa sana. Mabus yanaweza anzia Dodoma wakitaka. Wanaweza omba hata wapark pale mbele Dodoma stesheni kwa muda kuchukua abiria wa mikoa mbalimbali.

Kimsingi ili Tanzania tuendelee tunaitaji mtu mchangamfu anayejua Dunia ya sasa ikoje sio wanaokumbatia sera za mwalimu.

Hii SGR ya Dodoma to Isaka mbona wako kimya sana... hakuna kinachoendelea?
Mama mwenyew aongelei hii? Nilitegemea akitoka pale Dodoma kwenye ufunguzi aende akague SGR ya kuelekea Isaka na atoe maelekezo... maana mkataba waliosaini unakaribia kuisha sasa.
Acha kuzunguka mbuyu,sema tuu wazi kwamba kama alivyo sa 💯..

Reformist Mother of The Modern Economy of Tanzania.
 
Kwa hivo unadhani Nairobi hamna nyumba za compound ama Nini? Hujui Nairobi utachagua unapotaka kuishi? Halafu pia usidhani apartment za kuuza zinazojengwa Nairobi ni vi-apartment ovyo ukigombana na bibi neighbor anaskia. Hizi ni apartment za maana zenye sound proofing ndio maana ni Bei ghali kuliko kujenga nyumba yako mansion mitaa kama ya Syokimau.

View: https://www.youtube.com/watch?v=T633izGubto&pp=ygUXZ3RjIHJlc2lkZW5jZSBwZW50aG91c2U%3D

Kumbuka pia mitaa yetu ya kujenga nyumba za chini imepangika na ina Barabara za lami, sio kama hapo kwenu watu wanajenga kiholela.
Linganisha Hii mitaa. Hapa ni Kahawa Sukari. Huu ni mtaa nje ya Nairobi ambao unanunua shamba lako unajijengea. Tazama ulivyopangika. 100% Barabara ni lami.

View attachment 3063440

Huu hapa ni Syokimau, pia nje ya Nairobi. Unanunua shamba lako unajijengea nyumba yako jinsi unavyotaka. Tazama ulivyopangika. Hapa barabara 60% ni lami, the other 40% ziko mbioni kupigwa lami.
View attachment 3063441

Haya,linganisha ni hii Mbweni yenu ambayo kila siku mnajichocha nayo humu. Tazama ilivyo disorganized. Ukitoa Main road, hamna barabara nyingine yoyote yenye lami.
View attachment 3063442
Mwengine hapa Mbezi. Huu mtaa nimeuskia sana hata kabla nikanyage Dar niliskia Wabongo wengi sana wakiongelea jinsi ulivyo mtaa wa kitajiri. Sasa naulinganisha ni mitaa ya Nairobi ya kawaida kama Syokimau hata haufikii kwa kupangika wala infrastructure.
View attachment 3063443

Ndio maana mimi hucheka sana nikiwaskia mkiongea eti ooh Dar tunajijengea nyinyi mnaishi kwa apartments. Hapa Nairobi kila kitu kipo. Ukitaka kununua shamba ujenge mansion utapata, ukitaka kununua mansion kwenye gated community utapata, ukitaka kupanga mansion utapata, ukitaka kununua apartment utapata, ukitaka kupanga apartment utapata. Kitakachoongea ni preference yako na mfuko wako.

Can I have land pricing ya hapo nilipobold? make sure lipo NBO

Tafadhali na pia kumbuka tunaongelea general population affordability and choice.

Huo uswazi unaouona ni nyumba za style of 80s walishindwa kuzimaintain I can show you they can be turned to something wakiamua.

1000044000.jpg


Can you notice walivyoongeza na kubalance juu kua Contemporary?

1000046027.jpg


That's the reality yes nakubali kuna maeneo mipango miji ilifanya makosa makubwa kuruhusu ujenzi holela.

The thing is mnavyobrag kuwa EA powerhouse tulitegemea hadi Mkenya wa chini awe na what you bragging. Ila kuona nyumba ya Bati ni nyumba asee,

If you say mkenya anaweza buy ardhi weka pricing tuone sidhani kama kuna mtu anapenda kuishi kwa slums akiwa na uwezo.

But mnafahamika kuwa na slums in the world (which imeharibu your bragging mpaka tuone mnatupiga kamba).
 
Back
Top Bottom