Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

International airports
Ugandan standards

View: https://youtu.be/MpBr4ADNNgI?si=TW7SOfWXH-0FoeGh


View: https://youtu.be/y05P23TfZUY?si=Ws7WJlFJ7MpXcK8x


View: https://youtu.be/ujPYaoXLb3Y?si=X1DR4XLQEERWIYle

VS

Tanzanian standards

View: https://youtu.be/KdV2E5y6Fwo?si=iTNhvyy7-iJG10xK


View: https://youtu.be/SFNmAyvHFtc?si=OHM--RvPAAVohBpS


VS

Ukunyani Standards

View: https://youtu.be/3Zs5EH_kros?si=izM8-KXkAimx55BB



View: https://youtu.be/mTM7jVUDC6s?si=B-vojLyU_RkH_krF

Screenshot 2024-08-08 091720.png

Screenshot 2024-08-08 091625.png
 
After nimepost alipotea the whole of yesterday ndio amerudi sahii. Bado anatafuta mtu mwenye simu kali kama hiyo apige screenshot apost. Usitegemee apost sahii. Ametafuta akakosa. 😂😂

Na nina uhakika hata haijui hiyo Google Pixel Pro. Maanake mtu anayejua masimu anajua hiyo ni miongoni mwa simu za maana ulimwenguni.
😂😂😂 kwamba mimi sina shighuli za kufanya ni kupigizana kelele na wewe tu.? Eti.? 😂😂😂. Kwamba mimi nitafute simu za kukuonuesha wewe. Pixel pro yako moja 😂😂😂😂 refurb.? Simu used.? Less than 600k Tz money 😂😂😂😂.
 
Ukimwambia apost simu yake hukujua una shughuli? Ulidhani ana infinix kama wewe sasa amekupostia simu yake unajificha kwa shughuli. Shughuli gani na unalishwa na girlfriend?😂😂
😂😂😂 mimi kuhusu kujua simu wala sio size yako Nina Access pana mno 👇🏾
IMG_0648.png
I can clearly see the phone that I’m using from this screenshot.. and check the price list, nakua updated kila siku. 😂😂😂😂 the used Phones that you are proud of ..
 
😂😂😂 mimi kuhusu kujua simu wala sio size yako Nina Access pana mno 👇🏾View attachment 3064384I can clearly see the phone that I’m using from this screenshot.. and check the price list, nakua updated kila siku. 😂😂😂😂 the used Phones that you are proud of ..
Umekimbia kwa rafiki yako muuza simu kariakoo ukamwambia akutumie list ya bei za simu?

Kwamba ukiscreenshot list ya bei za simu kwa whatsapp inamaanisha unaitumia hiyo simu? Kwamba nikiscreenshot bei ya iphone 15 sahii inamaanisha natumia iphone 15? Nionyeshe kitu kama hiki.
1000227014-png.3064112


Alafu ukishamaliza nipe bei ya Google Pixel 7 Pro maanake sijaiona kwa list yako. Kumbuka nimeinunua hii simu last year ikianza kama bado ni mpya kwa soko so bei utakayoipata sahii itakuwa kitu 50% - 60% of what I spent on it.
 
Airlines huwa wanaangalia hizo facilities pia acha ufala.
Mziki wa A380 sio mchezo jinsi JKIA ilivyokuwa congested ka terminal ka juakali A380 ikishusha mzigo mtatafutana kule ndani itakuwa chaos tupu.
So vile A380 ilitua JNIA ilitumia air bridges ama ama watu walishukishwa kama kondoo kule nyuma?😂😂
 
Kwani Best 007 anatumia Mulika mwizi…😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣
Anafaa aende labor court juu hakuna vile wanampea mulika mwizi kufanya kazi. Na battery ikianguka usiku akifukuzwa na mwizi atajisaidiaje?😂😂🤣
 
After nimepost alipotea the whole of yesterday ndio amerudi sahii. Bado anatafuta mtu mwenye simu kali kama hiyo apige screenshot apost. Usitegemee apost sahii. Ametafuta akakosa. 😂😂

Na nina uhakika hata haijui hiyo Google Pixel Pro. Maanake mtu anayejua masimu anajua hiyo ni miongoni mwa simu za maana ulimwenguni.
Si aende kwa duka la simu ajidanganye ati anakata kununua simu Alafu aipige picha, cause that’s what he does best😂😂🤣
 
Tatizo tunakumbatia wazee wenye akili za kijamaa bado. Wazee huwa wako conservative...sisi tunafanya hiv..ndo wamejaa hadi CCM huko
Bado wazee wengi Tanzania hawajaingia free economy bado. Dunia ya sasa hakuna kuhurumiana wala kuchekana. Tanzania ni nchi kubwa sana. Mabus yanaweza anzia Dodoma wakitaka. Wanaweza omba hata wapark pale mbele Dodoma stesheni kwa muda kuchukua abiria wa mikoa mbalimbali.

Kimsingi ili Tanzania tuendelee tunaitaji mtu mchangamfu anayejua Dunia ya sasa ikoje sio wanaokumbatia sera za mwalimu.

Hii SGR ya Dodoma to Isaka mbona wako kimya sana... hakuna kinachoendelea?
Mama mwenyew aongelei hii? Nilitegemea akitoka pale Dodoma kwenye ufunguzi aende akague SGR ya kuelekea Isaka na atoe maelekezo... maana mkataba waliosaini unakaribia kuisha sasa.
Ipo shida kwenye vipande vya Yarp, angalia hata kwenye ufunguzi hawakupewa hata nafasi ya kuongea presence yao ilipuuzwa hata balozi wao hakupewa engagement yoyote, tukubali Yarp ya lot 1 na 2 ndio ilikua inajielewa, hii ya saivi ni takataka kabisa, nilipata juzi kati Tabora na Shinyanga kazi inaendelea, walipunguza running costs za company wakaondoa wale waliokua wakitupa updates za drones
 
Jifariji unavyoweza lkn a380 haitotua JKIA na haijawahi, itaendelea kutua JNIA, pole kwa maumivu.
Imetua JNIA because of emergency. Hata Entebe pia walishapokea A380 because of emergency. Ama ulitaka ndege itoke Comoros ikuje JKIA awhile there was JNIA karibu nayo. Wewe watchman achana na mambo ya ndege juu huelewi😂😂
 
Back
Top Bottom