President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Nimesha malizana na wewe. I don't argue with idiotsKujaza stadium is not a sport🤣🤣🤣😂😂.
Nimesha malizana na wewe. I don't argue with idiotsKujaza stadium is not a sport🤣🤣🤣😂😂.
88 Nairobi is already filled. Ukienda site Yao hutapata vacant room.Tangu TPA imealizike, tumejenga skyscrapers ndefu kuishinda na zishaajaa TPA bado iko pale pale.
Britam, UAP, GTC. 88 pia itakamilika ijae kama TPA ipo pale pale.🤣🤣.
We all know GTC owned by Chinese.88 Nairobi is already filled. Ukienda site Yao hutapata vacant room.
Timu mbili kiwanja kimoja, Wajanja tunaona ni ushambaUkinionesha kitu kama hiki toka Kundustan nafunga account yangu
View attachment 3062890
View attachment 3062892
GTC Yote ilishaajaa, nyumba saba zote over 30 floors halafu jengo moja la 35 floors pekee miaka tisa halijajaa. 🤣 🤣88 Nairobi is already filled. Ukienda site Yao hutapata vacant room.
I said I do not argue with idiots.Timu mbili kiwanja kimoja, Wajanja tunaona ni ushamba
Wivu tu unakusumbua.😎Timu mbili kiwanja kimoja, Wajanja tunaona ni ushamba
Wanakwambia kwao hakuna ushoga. 🤣 🤣Hako gani za binadamu mnaheshimu kama mnalawiti watoto wadogo?🤣🤣😂😂👇👇👇
View attachment 3062897
Mdomo wao hao si wa kuuzingatia wachukulie kama wehu wanaojifariji,uliona wapi nchi yenye 75% ya watu wake kuishi slums wajisifie wana makazi mazuri,kama si wehu kitu ganiPost humu ndani mkuu ili wapunguze midomo Hawa kondoo 😂😂😂😂
Umia kidogo komora,hiyo ni juzi ndani benjamin mkapa!kunyan mngekua n akili sgr yetu ingekupeni somo kubwa sana,eti mnataraji kuona jua kali stadium,mshasahau miaka 4 nyuma mlichokua mnasema kuhusu sgr!Mlishaafika negotiation stage na hamkusema.
1. January, new renders this thing will never get built. AFCON will be hosted in Tanzania only.
2. March, the stadium is launch - they'll launch then let it rot. They'll never build it.
3. April, construction ongoing - Uwanja ni wa mchina. Mkenya hapo ni tenant tu.
4. May, Foundation complete - Huu uwanja hautofanana na render kabisa.
5. August - Columns rising - Naona mafundi wa Kenya, tutegemee Jua Kali stadium.
Meanwhile, uwanja wao wa Arusha since launchi hata nyasi pekee haijakatwa kwa site. 😅😅😅😅
Haya, tuonyeshe Samia Stadium Arusha.Umia kidogo komora,hiyo ni juzi ndani benjamin mkapa!kunyan mngekua n akili sgr yetu ingekupeni somo kubwa sana,eti mnataraji kuona jua kali stadium,mshasahau miaka 4 nyuma mlichokua mnasema kuhusu sgr!
Hili ndio kombe lenu kipindi hiki,Yanga wenyewe wamefurahi na kuenjoy ww umekaza fuvu mpangilio kuna mtu wa Yanga aliekuambia hajapenda ule mpangilio,kama kuvuruga wamevuruga Yanga ya nn sasa uteseke ww!Ukiwa Mshabiki wa timu ya Yanga lazima dishi liyumbe kidogo 🤣 🤣 🤣 🤣
Nilichokuwa nakiongelea mimi ni Simba Day ilikuwa imepangiliwa vizuri sana dhidi ya Yanga Day
Nikasema hata ukienda kwenye social media za timu utaona namna ya Contents zilivyoweka.
Linakuja Liutopolo hapa linaanza bragging za Kikenya mara oh!! timu yetu ni bora kuliko timu zote, mara oh!!
Sasa mimi naongelea Simba Day dhidi ya Yanga Day
Simba Day ya 16 halafu Yanga Day ya 4
Huyu DJ wa kike wa Simba DJ Sinyorita
View attachment 3062707
Officer Habari wa Simba akiingia Stage
View attachment 3062708
Officer Habari wa Simba Akiongea na mashabiki
View attachment 3062709
Picha ya Squad ya Simba
View attachment 3062711
Everything Simba was arranged professionally
Sasa hebu tupatie arrangement ya matukio ya yanga sasa.
Uswahili Mwingi na kukosa weledi
Leo utalia 😂😂😂
Mobius III 80 cars sold
Mobius I and Mobius II 150 cars sold
View attachment 3011409
View: https://x.com/evenmaina/status/1674768450013593601
Hiyo hapoHaya, tuonyeshe Samia Stadium Arusha.