Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukiwa Mshabiki wa timu ya Yanga lazima dishi liyumbe kidogo 🤣 🤣 🤣 🤣

Nilichokuwa nakiongelea mimi ni Simba Day ilikuwa imepangiliwa vizuri sana dhidi ya Yanga Day
Nikasema hata ukienda kwenye social media za timu utaona namna ya Contents zilivyoweka.

Linakuja Liutopolo hapa linaanza bragging za Kikenya mara oh!! timu yetu ni bora kuliko timu zote, mara oh!!

Sasa mimi naongelea Simba Day dhidi ya Yanga Day

Simba Day ya 16
halafu Yanga Day ya 4

Huyu DJ wa kike wa Simba
DJ Sinyorita

1722929358337.png


Officer Habari wa Simba akiingia Stage

1722929442750.png


Officer Habari wa Simba Akiongea na mashabiki

1722929508797.png


Picha ya Squad ya Simba

1722929549025.png

Everything Simba was arranged professionally

Sasa hebu tupatie arrangement ya matukio ya yanga sasa.
Uswahili Mwingi na kukosa weledi
 
Mkuu msikilize kocha wa red arrows anachoongea,mpira una sheria na kanuni zake
Hoja ya Msingi ni Matukio ya Simba Day na Yanga Day. Usinihamishe kwenye mada ndugu. Angalia hoja zangu zote za awali. Tukiwasema utopolo matamasha yenu hayana utaratibu mjirekebishe bhana.
 
View attachment 3062389
Apartment blocks zenyewe zinazoibuka kila uchao huko kunyaland sasa
Wacha kujitoa ufahamu bongolala. Itawachukia miaka na mikaka kuwachana na uswazi na kujenga nyumba za maana kama apartments for sale like these ones below
images - 2024-08-05T173401.079.jpeg
1721215211394.png
20240615_201032.jpg
Screenshot_2023-12-01-07-59-20-58_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4~2.jpg
Screenshot_2023-12-20-09-12-02-06_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4.jpg
IMG_5010.jpeg
IMG_4992 (1).jpeg
78fa059b-e648-4245-8c28-3e57ac153d56.jpg
d71cbfcd-0830-4c97-ac39-dd70078544ce.jpeg
images - 2024-05-08T133136.606.jpeg
images - 2024-05-06T202844.660.jpeg
images - 2024-08-05T173624.365.jpeg
31bde049-1a5e-445d-a1b5-adb3ebb973a5.jpg
56a951ff-b938-471f-b866-e2aeaac932ac.jpeg

The best that Tanzanians can afford are lowlife uswazi hovels you call dream houses that have spread throughout your glorified fishing village
 

Attachments

  • images - 2024-05-08T133057.860.jpeg
    images - 2024-05-08T133057.860.jpeg
    46.8 KB · Views: 8
Wacha kujitoa ufahamu bongolala. Itawachukia miaka na mikaka kuwachana na uswazi na kujenga nyumba za maana kama apartments for sale like these ones below
View attachment 3062739View attachment 3062740View attachment 3062741View attachment 3062742View attachment 3062744View attachment 3062745View attachment 3062746View attachment 3062747View attachment 3062748View attachment 3062751View attachment 3062755View attachment 3062764View attachment 3062765View attachment 3062772
The best that Tanzanians can afford are lowlife uswazi hovels you call dream houses that have spread throughout your glorified fishing village
Sasa kwani hizi magorofa hakuna Tz au.? Nashindwa kukuelewa wewe punguni. 😂😂
 
Wacha kujitoa ufahamu bongolala. Itawachukia miaka na mikaka kuwachana na uswazi na kujenga nyumba za maana kama apartments for sale like these ones below
View attachment 3062739View attachment 3062740View attachment 3062741View attachment 3062742View attachment 3062744View attachment 3062745View attachment 3062746View attachment 3062747View attachment 3062748View attachment 3062751View attachment 3062755View attachment 3062764View attachment 3062765View attachment 3062772
The best that Tanzanians can afford are lowlife uswazi hovels you call dream houses that have spread throughout your glorified fishing village
downloadfile-5.jpg

Mnaoishi kwenye slums amuishiwi vituko
 
Hoja ya Msingi ni Matukio ya Simba Day na Yanga Day. Usinihamishe kwenye mada ndugu. Angalia hoja zangu zote za awali. Tukiwasema utopolo matamasha yenu hayana utaratibu mjirekebishe bhana.
Atujawekeza kwenye matamasha Yanga ni timu ya mpira,ndio maana tunaanda timu ya ushindani kwa kusajili wachezaji wazuri,mfano tu msimu huu makolo mliltaka mpenzu kutoka as vita mmeshindwa kumpata sababu ya ubahili wa mo eti mkamtaka mpewe kwa mkopo,hamna timu duniani inayotoa key player wake kwa mkopo kina jemedari walidanganya mayele alikua Yanga kwa mkopo,huku Yanga imemnunua dube kutoka azam mln 600,pesa ambayo mshahara wa wachezaji wote wa gor kwa mwaka mzima
 
Usikute mchina baada ya kuona hako ka nchi hakatorudisha pesa yake kutokana na kuwa na vijana wa hovyo wa kuharibu mali kisa bei ya ugali kaona aache ku fund haka ka mradi, ni mda mrefu naona pako vile vile, mbaya zaidi naona mafundi wa kikenya 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Tutegemee jua kali Stadium as usual 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

My take, no afcon 😅😅😅😅😅😅😅
Mlishaafika negotiation stage na hamkusema.
1. January, new renders this thing will never get built. AFCON will be hosted in Tanzania only.
2. March, the stadium is launch - they'll launch then let it rot. They'll never build it.
3. April, construction ongoing - Uwanja ni wa mchina. Mkenya hapo ni tenant tu.
4. May, Foundation complete - Huu uwanja hautofanana na render kabisa.
5. August - Columns rising - Naona mafundi wa Kenya, tutegemee Jua Kali stadium.

Meanwhile, uwanja wao wa Arusha since launchi hata nyasi pekee haijakatwa kwa site. 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom