Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa kaka nakupinga,Red arrows hakufungwa kwa figisu.
Kama ulitizama mpira red arrows walizidiwa possession,kipindi cha kwanza tu possession ilikua 61 kwa 39.
Tena Yanga yenyewe ilikua inacheza randomly eti Maxi Nzengeli akicheza wing back.
Denis Nkane akicheza CB.
Penalty ilikua sahihi yule mchezaji kacheza mwili wa kibabage sio mpira,red card nayo sahihi kama uliona hata yule mchezaji wenzake walikua wanamsema kuwa kafanya upumbavu.
Tarehe nane haiko mbali usidhani Nzengeli atacheza wing back kama juzi.
Watu umewapiga Red Card unategemea nini? Kusema possession mbona simba ilikuwa na 76%. Na wala watu hawasemi.
 
Watu umewapiga Red Card unategemea nini? Kusema possession mbona simba ilikuwa na 76%. Na wala watu hawasemi.
Red card walistahili bro kama kweli wewe mtu wa mpira.
Hata wachezaji wenzake walimlaumu yule jamaa na kumsema walimlalamikia kuwa hakustahili kufanya ujinga aliofanya.
 
Just friendly match 😀 😀 😀 ilinisikitisha jana.

Anyway show ya yanga iliisha zaidi ya saa tano usiku. Hili unaliongeleaje?
Kwa kusema kweli mpangilio wa matukio YANGA TULIFELI.
Muda mwingi umepotea kwa wale maDJ kupiga kelele na vitambi vyao.
Hatukupangilia vizuri matukio hasa ya kutumbuiza ya wasanii.
Ilitakiwa mpaka saa moja game linaanza saa tatu linaisha Watu wanasepa.
 
Watu umewapiga Red Card unategemea nini? Kusema possession mbona simba ilikuwa na 76%. Na wala watu hawasemi.
Basi red card ifutwe isiwepo kabisa 😂😂😂
Hvi nyinyi munaona APR ni team Bora ya kujipima au sio 😂😂😂
Basi tarehe 8 mutajua kikosi chenu halisi
 
Just friendly match 😀 😀 😀 ilinisikitisha jana.

Anyway show ya yanga iliisha zaidi ya saa tano usiku. Hili unaliongeleaje?
Friendly match haina maana Kadi zisiwepo unataka watu wavunjane miguu ndio mujue maana ya Sheria za mpira 😂😂😂😂😂
 
Kocha wap alisema kabisa ni red card ya uzembe SASA wao wanapinga nn 😂😂😂
Hata wachezaji wenzake walikua wakimgombeza.
Halafu red arrows walikamia ile game.
Hivi tungeingiza kikosi kile cha Kaizer chiefs hao red arrows wangetoka salama!??
 
Hata wachezaji wenzake walikua wakimgombeza.
Halafu red arrows walikamia ile game.
Hivi tungeingiza kikosi kile cha Kaizer chiefs hao red arrows wangetoka salama!??
Yanga kuna mambo aliyaficha mengi Tu yakimbinu na wamshkuru Sana kipa wao lasivo wangekula goli 8 mpaka 10 😂😂😂
 
As Kenyan police fight rebels in Haiti, Tanzanian police are rapping women in Tanzania.😂😂

View attachment 3062508
20240625_195808.jpg

Wezi 🤣🤣
 
Yanga kuna mambo aliyaficha mengi Tu yakimbinu na wamshkuru Sana kipa wao lasivo wangekula goli 8 mpaka 10 😂😂😂
Ila doh kipa namsifu,ile michomo yote kaokoa AISEE.
Tarehe 8 alhamisi kesho kutwa litakufa jitu.
Hivi Duke Abuya ulimuona matusi yake!?
 
Back
Top Bottom