Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Makalio kweli wewe.
Bangladesh kumuondoa Sheikh Hasina walianza kuandamana tokea 2021.
Je ninyi mlianza kuandamana kuanzia 2021!!???
Matunda ya leo ya kumuondoa Hasina yalianza four years back.
Hata hio 2021 tulikua na Maandamano. Kilichowatia nguvu Bangladesh ni kuona wakenya wameingia bunge na finace bill kuondolewa. Either way hatuhitaji approval yenu (maiti) 😂
 
Rudi shule wewe Mombasa na Tanga wapi na wapi mbona unajipa umuhimu. Nishakwambia tafuta hela ujumuike na wenzako wanaouza kahawa mitaani kwetu 😂😂😂
Mombasa kuna jamii zao kama tatu zimehamia Tanga.
Hivi unajua kuna bus from Tanga to Mombasa!?
Wadigo,washihiri na wagunya ni from Mombasa wakahamia Tanga makalio wewe.
Na wadigo wavivu kinyaksi hadi kero.
Wametuharibia Tanga yetu.
 
Kwamba Mo na pesa zake zote, kasoma marekani na ni tajiri no 1 in East Africa awe na ndoto za kuishi mombasa.? 😂😂😂😂😂 wewe ni mpumbavu.
Kwani Mo Dweji ni mtanzania?
 
Hata hio 2021 tulikua na Maandamano. Kilichowatia nguvu Bangladesh ni kuona wakenya wameingia bunge na finace bill kuondolewa. Either way hatuhitaji approval yenu (maiti) 😂
Acha UFALA NA KUJIPA UMUHIMU MSIOSTAHILI.
Bangladesh imeanza maandamano kabla hata ya hao Gen Z.
Sheikh Hasina hakuwa akipendwa muda mrefu tu.
Bangladesh wakikusikia watakuchapa makofi kiazi wewe.
Bangladesh wanaanza kufanya maandamano in history haya Kenya hamjulikani kama mtakua taifa.
 
Unaona ulivyo matako!?
Nazungumzia LUGHA YA KISWAHILI SIO NENO AMA MSAMIATI SWAHILI.
Lugha na msamiati ni kitu sawa!??
Kama neno lenyewe ni kiarabu. Mbona lugha lisiwe la kiarabu?😂😂
 
Kama neno lenyewe ni kiarabu. Mbona lugha lisiwe la kiarabu?😂😂
Lugha inahusisha muundo wa sauti za nasibu na muundo wa mizizi ya ile lugha na misamiati pia.
Kuhusu neno SWAHILI limetoholewa katika kiarabu likimaanisha Watu wa pwani.
Ila je mzizi wa lugha ni kiarabu!?
Kiarabu kina asilimia zisizozidi 20 katika mchango wa lugha ya kiswahili.
 
Wewe unamiliki dreamhouse hapo gongo la mboto unataka ushindane na mkenya anayenunua nyumba ya maana kwenye apartment block?

Jiulize ni Kwa nini apartment blocks with units for sale zinainuka kila kuchao Nairobi wakati Dar ni hadimu
downloadfile-5.jpg

Apartment blocks zenyewe zinazoibuka kila uchao huko kunyaland sasa
 
Mombasa kuna jamii zao kama tatu zimehamia Tanga.
Hivi unajua kuna bus from Tanga to Mombasa!?
Wadigo,washihiri na wagunya ni from Mombasa wakahamia Tanga makalio wewe.
Na wadigo wavivu kinyaksi hadi kero.
Wametuharibia Tanga yetu.
Usitafute umuhimu, tanga na Mombasa ni mbingu na Ardhi. Mombasa ni kama Nairobi, hakuna jamii inaweza kuclaim ni yao.
Wagunya - Lamu
Wadigo- kwale
Washihiri - kenya coastline
 
Mbona wana masilum kila kona
Larger number ya investers ni foreigners na wanunuaji pia ni foreigners. Kwa kifupi with no wazungu settlers in your country then there’s nothing you can compete with us. Facts.
Sasa kama kaolewa huko
Chooboy ichoboy01 mskilize tajiri wenu Mo Dewji dakika 00:48 anakwambia dadake mkubwa samira anaishi MOMBASA. Yani nikisema ni ndoto yenu kufika huku nimekosea 👇😂😂


View: https://twitter.com/Gaspinho15/status/1820173222211469665?t=D9C28yG2v4SNJHxR_DzeCw&s=19
 
Usitafute umuhimu, tanga na Mombasa ni mbingu na Ardhi. Mombasa ni kama Nairobi, hakuna jamii inaweza kuclaim ni yao.
Wagunya - Lamu
Wadigo- kwale
Washihiri - kenya coastline
Mbona unaleta ubishani usio na maana kijana!?
Wagunya sio asili ya Tanga lakini wao Tanga.
Wadigo sio asili ya Tanga lakini wapo Tanga.
Washihiri ni vivyo hivyo.
Kuna barabara ya kutoka Tanga kuja Mombasa.Kuna magari yanayotoka Tanga kuja Mombasa.
Sasa wewe unabisha nini!??
Naona kama unaropoka tu hapa.
 
Back
Top Bottom