Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,118
- 17,848
I have already told you uwanja uliozingirwa na uswazi haiwezinipa wivu mimkYaani umejaa wivu kama nyang'au😎😎😎
I have already told you uwanja uliozingirwa na uswazi haiwezinipa wivu mimkYaani umejaa wivu kama nyang'au😎😎😎
Upuuzi mtupu.I have already told you uwanja uliozingirwa na uswazi haiwezinipa wivu mimk
Leta Nyumba nikunyooshe 😂😂😂Umeanza utoto sasa
Larger number ya investers ni foreigners na wanunuaji pia ni foreigners. Kwa kifupi with no wazungu settlers in your country then there’s nothing you can compete with us. Facts.Maneno ya kujifariji tushazizoea. Kwamba nyumba zote for sale in nairobi zinanunuluwa na wazungu? Do you have any proof?
Alafu mwisho unaandika facts huu wako ni ukatuni.Larger number ya investers ni foreigners na wanunuaji pia ni foreigners. Kwa kifupi with no wazungu settlers in your country then there’s nothing you can compete with us. Facts.
Ukiona haujaridhika jitetee 😂😂😂 ila huo Ndio ukweli, muda si mrefu ulitoka kutaja equity bank na sportpesa unajua kama ni investments za foreigners.? 😂😂😂.Alafu mwisho unaandika facts huu wako ni ukatuni.
Hauna content 😂😂😂Ukiona haujaridhika jitetee 😂😂😂 ila huo Ndio ukweli, muda si mrefu ulitoka kutaja equity bank na sportpesa unajua kama ni investments za foreigners.? 😂😂😂.
Unaogopa 😂😂😂Hauna content 😂😂😂
Chooboy ichoboy01 mskilize tajiri wenu Mo Dewji dakika 00:48 anakwambia dadake mkubwa samira anaishi MOMBASA. Yani nikisema ni ndoto yenu kufika huku nimekosea 👇😂😂
View: https://twitter.com/Gaspinho15/status/1820173222211469665?t=D9C28yG2v4SNJHxR_DzeCw&s=19
Nilikuambia wewe ndo mtanzania hapa ndani hujafika Mombasa. Siku ukiwai hela lazima utakuja 😂Kwamba Mo na pesa zake zote, kasoma marekani na ni tajiri no 1 in East Africa awe na ndoto za kuishi mombasa.? 😂😂😂😂😂 wewe ni mpumbavu.
Ngoja nikujuze 😂😂😂 mimi babaangu kwao ni Hapo jasini i, tunatenganishwa na jiwe la msingi liloandikwa upande kenya, upande Tanzania.😂😂😂😂 watu wa mombasa ni maskini kupita maelezo.. nawajua.Nilikuambia wewe ndo mtanzania hapa ndani hujafika Mombasa. Siku ukiwai hela lazima utakuja 😂
So wewe unawajua watu wa mombasa kunishinda??? Tafuta hela kijana utajua dar slum ni mtoto wa MombasaNgoja nikujuze 😂😂😂 mimi babaangu kwao ni Hapo jasini i, tunatenganishwa na jiwe la msingi liloandikwa upande kenya, upande Tanzania.😂😂😂😂 watu wa mombasa ni maskini kupita maelezo.. nawajua.
Chooboy ichoboy01 mskilize tajiri wenu Mo Dewji dakika 00:48 anakwambia dadake mkubwa samira anaishi MOMBASA. Yani nikisema ni ndoto yenu kufika huku nimekosea 👇😂😂
View: https://twitter.com/Gaspinho15/status/1820173222211469665?t=D9C28yG2v4SNJHxR_DzeCw&s=19
Huyu jamaa amejenga nyumba katikati ya mpaka😂😂😂 👇🏾So wewe unawajua watu wa mombasa kunishinda??? Tafuta hela kijana utajua dar slum ni mtoto wa Mombasa