Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
I have already told you uwanja uliozingirwa na uswazi haiwezinipa wivu mimkYaani umejaa wivu kama nyang'au๐๐๐
I have already told you uwanja uliozingirwa na uswazi haiwezinipa wivu mimkYaani umejaa wivu kama nyang'au๐๐๐
Upuuzi mtupu.I have already told you uwanja uliozingirwa na uswazi haiwezinipa wivu mimk
Leta Nyumba nikunyooshe ๐๐๐Umeanza utoto sasa
Larger number ya investers ni foreigners na wanunuaji pia ni foreigners. Kwa kifupi with no wazungu settlers in your country then thereโs nothing you can compete with us. Facts.Maneno ya kujifariji tushazizoea. Kwamba nyumba zote for sale in nairobi zinanunuluwa na wazungu? Do you have any proof?
Alafu mwisho unaandika facts huu wako ni ukatuni.Larger number ya investers ni foreigners na wanunuaji pia ni foreigners. Kwa kifupi with no wazungu settlers in your country then thereโs nothing you can compete with us. Facts.
Ukiona haujaridhika jitetee ๐๐๐ ila huo Ndio ukweli, muda si mrefu ulitoka kutaja equity bank na sportpesa unajua kama ni investments za foreigners.? ๐๐๐.Alafu mwisho unaandika facts huu wako ni ukatuni.
Hauna content ๐๐๐Ukiona haujaridhika jitetee ๐๐๐ ila huo Ndio ukweli, muda si mrefu ulitoka kutaja equity bank na sportpesa unajua kama ni investments za foreigners.? ๐๐๐.
Unaogopa ๐๐๐Hauna content ๐๐๐
Chooboy ichoboy01 mskilize tajiri wenu Mo Dewji dakika 00:48 anakwambia dadake mkubwa samira anaishi MOMBASA. Yani nikisema ni ndoto yenu kufika huku nimekosea ๐๐๐
View: https://twitter.com/Gaspinho15/status/1820173222211469665?t=D9C28yG2v4SNJHxR_DzeCw&s=19
Nilikuambia wewe ndo mtanzania hapa ndani hujafika Mombasa. Siku ukiwai hela lazima utakuja ๐Kwamba Mo na pesa zake zote, kasoma marekani na ni tajiri no 1 in East Africa awe na ndoto za kuishi mombasa.? ๐๐๐๐๐ wewe ni mpumbavu.
Ngoja nikujuze ๐๐๐ mimi babaangu kwao ni Hapo jasini i, tunatenganishwa na jiwe la msingi liloandikwa upande kenya, upande Tanzania.๐๐๐๐ watu wa mombasa ni maskini kupita maelezo.. nawajua.Nilikuambia wewe ndo mtanzania hapa ndani hujafika Mombasa. Siku ukiwai hela lazima utakuja ๐
So wewe unawajua watu wa mombasa kunishinda??? Tafuta hela kijana utajua dar slum ni mtoto wa MombasaNgoja nikujuze ๐๐๐ mimi babaangu kwao ni Hapo jasini i, tunatenganishwa na jiwe la msingi liloandikwa upande kenya, upande Tanzania.๐๐๐๐ watu wa mombasa ni maskini kupita maelezo.. nawajua.
Chooboy ichoboy01 mskilize tajiri wenu Mo Dewji dakika 00:48 anakwambia dadake mkubwa samira anaishi MOMBASA. Yani nikisema ni ndoto yenu kufika huku nimekosea ๐๐๐
View: https://twitter.com/Gaspinho15/status/1820173222211469665?t=D9C28yG2v4SNJHxR_DzeCw&s=19
Huyu jamaa amejenga nyumba katikati ya mpaka๐๐๐ ๐๐พSo wewe unawajua watu wa mombasa kunishinda??? Tafuta hela kijana utajua dar slum ni mtoto wa Mombasa