Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huna akili wewe SGR ni mradi wa kisiasa 😂😂
China ndio nchini inaongoza kwa usafiri WA treni duniani alaf unaongea nn hapa
Nineshafunga mjadala wa sgr,ujumbe umefika na umeeleweka.

Ni matumaini yangu viongozi wa baadae hawatafanya makosa ya kutupa Trilioni 27 Kwa vitu vidivyokuwa na faida kubwa kiuchumi
 
Nineshafunga mjadala wa sgr,ujumbe umefika na umeeleweka.

Ni matumaini yangu viongozi wa baadae hawatafanya makosa ya kutupa Trilioni 27 Kwa vitu vidivyokuwa na faida kubwa kiuchumi
Hakuna kitu unaongea cha maana wewe, na wala hutazuia reli kujengwa Sisi tunahitaji reli zaidi ya inavotuhutaji 2050 Huko tutafika watu million 100 utasafirisha watu kwa kutumia bus au??😂😂😂😂😂

Tafuta hata mtu aliesomea uchumi akufungue fuvu Hilo limejaa kamasi na udenda
 
Hakuna kitu unaongea cha maana wewe, na wala hutazuia reli kujengwa Sisi tunahitaki reli zaidi ya inavotuhutaji 2050 Huko tutafika watu million 100 utasafirisha watu kwa kutumia bus au??😂😂😂😂😂

Tafuta hata mtu aliesomea uchumi akufungue fuvu Hilo limejaa kamasi na udenda
Natumai watunga sera hawatarudia makosa ya kimaamuzi na Kwa kuwa Tume ya Mipango imerejeshwa tutakuwa na mipango ya Nchi na timeframe kulingana na vipaombele.

Hii habari ya mtu kuja na mipango yake binafsi Kwa maslahi ya Kisiasa kutoka ushauri wa chumbani haifai na ni hatari Kwa Ustawi wa Nchi.

Nadhani nimeeleweka vyema.
 
Natumai watunga sera hawatarudia makosa ya kimaamuzi na Kwa kuwa Tume ya Mipango imerejeshwa tutakuwa na mipango ya Nchi na timeframe kulingana na vipaombele.

Hii habari ya mtu kuja na mipango yake binafsi Kwa maslahi ya Kisiasa kutoka ushauri wa chumbani haifai na ni hatari Kwa Ustawi wa Nchi.

Nadhani nimeeleweka vyema.
Unajua wewe huwa haueleweki kabisa, sio wewe huwa unakesha hapa ukisema SGR ilikuwa wazo la mkapa na baadaye Kikwete? Sasa mbona unamtaja aliyetekeleza badala ya kuwataja walioasisi? Wewe chuki zako kwa Magufuli hazitopelekea hii miradi aliyoanzisha Magufuli kushindwa kuwa na tija, na kwa taarifa yako tayari imeshaanza kuleta tija kuanzia JNHPP mpaka SGR, issue itabaki kwa waendelezaji tu
 
Natumai watunga sera hawatarudia makosa ya kimaamuzi na Kwa kuwa Tume ya Mipango imerejeshwa tutakuwa na mipango ya Nchi na timeframe kulingana na vipaombele.

Hii habari ya mtu kuja na mipango yake binafsi Kwa maslahi ya Kisiasa kutoka ushauri wa chumbani haifai na ni hatari Kwa Ustawi wa Nchi.

Nadhani nimeeleweka vyema.
Lazima tujenge reli lazima tutanue mikakati ya reli nchi nzima, na lazma reli ifike nchi zilizotuzunguka kwa ajili ya biashara, reli sio ya MTU reli ya nchi manufaa ya kila mmoja wetu, bidhaa inayosafirishwa kwenda mwanza Kwa reli na lori ni tofaut hata bei haiwezi kua sawa, Europe pamoja na ubebebru wao wanatemegea reli 😂😂😂

Wewe unapinga kama Nani ikiwa mabeberu wako wanategemea reli, Europe ina mtandao mkubwa Sana WA reli au wao hawana akili mwenye akili ni wewe beberu mwenye mapembe 😂😂😂😂
 
But Kusema kweli Simba kwenye kuandaa matamasha na mpangilio wa events wako vizuri. Shida ya Yanga ni uswahili, uchawa na uchawi mwingi.

1722849493426.png


1722849540148.png
 
Back
Top Bottom