ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,262
Ulisimama miaka 5 ya Magufuli,umefufuliwa awamu ya 6 ya Samia so ndio kama unavyoona unaenda vizuri na utamalizika.Huu mradi wa Kawe nimeusikia humu leo mwaka wa saba kama sijakosea. Hivi, tatizo ni nini na miradi za nyumba Tanzania? Huwa haziishi!