Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Gor Mahia haina hadhi ya kucheza na Yanga kwa sasa, ni sawa na timu ya mchangani iite Man united icheze nayo, timu za hadhi ya Yanga huwa zina ratiba nyingi, so ukitaka kucheza nayo inabidi uombe mwaka kabla, pia kwa ajili ya kulinda wachezaji wao kuumia kutokana na timu ndogo kukamia mechi.View attachment 3060906
Hawa wapuuzi kweli walidhani Yanga ni timu ya kuikurupusha tu tunaomba mechi? Wakacheze na Ihefu ndio size yao…..😅😅
 

Tanzania yenye watu million 61 inatumia mzigo mkubwa kiasi hiki wa chuma, vipi kwa DRC yenye zaidi ya watu million 100? Bado huoni SGR is viable? Na hii ndio aina ya mizigo ya SGR

Screenshot_20240804-094405.jpg
 
Hiki anachokisema master j ndio watanzania wote tunavyojua kunyan mpo hivyo,ni washamba washamba,imagine arusha kuna baridi kuizidi naikundu ila ukifika naikundu kila mtu kavaa winter jacket
Master J ka-summarize battle, kila siku tunawaambia hivi hawa Wakenya ila bado mmeshupaza shingo sasa hivi tumeishatick maeneo kibao ambayo hamtuwezi mmebakiza tu Inglishi ambayo nayo hamjui sawa sawa…..😅😅
 

Dodoma's evolution: Unveiling Tanzania's promising investment hub​


Jacob Mosenda

Prime
Saturday, August 03, 2024
dom-pic1.jpg


By Jacob Mosenda
Education writer/journalist with The Citizen
Mwananchi Communications Limitted

Dodoma. Dodoma has emerged as one of Africa's fastest-growing cities, driven by the Tanzanian government's strategic move to shift the capital from Dar es Salaam to this centrally positioned location.

The capital city status has led to rapid development and significant investment in various areas of Dodoma, according to a recent survey conducted by The Citizen.

Register to begin your journey to our premium content​


 
Master J ka-summarize battle, kila siku tunawaambia hivi hawa Wakenya ila bado mmeshupaza shingo sasa hivi tumeishatick maeneo kibao ambayo hamtuwezi mmebakiza tu Inglishi ambayo nayo hamjui sawa sawa…..😅😅
Zambia na malawi wanaongea fluently english kushinda kunyan na atuwasikii kujitambia hiyo lugha
 
Back
Top Bottom