ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,268
Speed za 180km/h ndio unaongelea? Fikieni 200km/h Alafu ukuje tuongee🤣🤣😂😂
Leo chuma ilifunikwaHiii kitu imeumiza Sana watu😅😅😅😅
Yani MTU anahangaika kuchafua kisafi Tu na hata mwezi hatujafikisha
View attachment 3058663
Inapendeza Sana ikifunikwa cover yake pale mbele Yani image ya bullet train kabisa inakuja🤗🤗🤗Leo chuma ilifunikwa
Nimeamini wakenya wanaumia sana. Huyu Teargas anawakilisha minds za wakenya wote. 🤣 🤣 🤣Hiii kitu imeumiza Sana watu😅😅😅😅
Yani MTU anahangaika kuchafua kisafi Tu na hata mwezi hatujafikisha
View attachment 3058663
Hakuna mkenya hajaumia na Hasa Tanzania ikifanya Jambo kubwa wao huumia Sana wakidhani Tanzania ni mhasimu wao😅😅😅Nimeamini wakenya wanaumia sana. Huyu Teargas anawakilisha minds za wakenya wote. 🤣 🤣 🤣
One wing ni kama haina tenants kabisa. Hata GTC ilikamilika just the other day but look at the occupancy!This is the reason why nobody wants to build skyscrapers in Tz. They fear their buildings will remain vacant forever 🤣🤣😂😂👇👇
Look at those twin towers with no tenants
Maandamano yao yalianza baada ya June 14. Tulipozindua Electric SGR yetu. 🤣 🤣 🤣Hakuna mkenya hajaumia na Hasa Tanzania ikifanya Jambo kubwa wao huumia Sana wakidhani Tanzania ni mhasimu wao😅😅😅
Na hakuna Taifa linaiogopa Tanzania kama wakenya, Yani juzi Tu nimetoka Kenya ukiwaskia maneno Yao juu ya Tanzania unagundua waoga Sana hawa jamaa
Ndio Yani benchmark Yao SASA hvi ni Tanzania, na SASA wako nyuma ya wakat kwasababu walisifiana Sana wakaficha maradhi Leo wanaamka hawana hata CAF standard stadium wanaanza kuchapana bakora SASA😅😅Maandamano yao yalianza baada ya June 14. Tulipozindua Electric SGR yetu. 🤣 🤣 🤣
Any Tanzanian to volunteer and show me how 188,000/44 is 7000😂😂🤣👇👇👇
View: https://x.com/swahilitimes/status/1818938021468684705
GTC owned by China, KQ Owned by KLM Nothing owned by Kenyans 🤣 🤣 🤣 🤣One wing ni kama haina tenants kabisa. Hata GTC ilikamilika just the other day but look at the occupancy!View attachment 3058678View attachment 3058679View attachment 3058680
Na hio talanta nayo Mali ya mchina pia 😅😅GTC owned by China, KQ Owned by KLM Nothing owned by Kenyans 🤣 🤣 🤣 🤣
Kwahivyo wafaransa wakianza kula mavi pia ninyi mtakula. 😂😂Mbwa ww ndio uone france tu inatokea but ikitokea TZ ni maajabu!
hii comment yako imekaa kitoto sana,au mataputapu ya chang'aa hapo kibera ishakuharibu akili!Kwahivyo wafaransa wakianza kula mavi pia ninyi mtakula. 😂😂
These are office buildings in Nairobi at night.Kwahiyo ofice space is supposed to be lights on at night?
BRT mali ya UAE na port of dar slumNa hio talanta nayo Mali ya mchina pia 😅😅