Reborn tkd
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 2,068
- 2,188
Lengo ilikuwa Mganda, sasa tulia waanze ujenzi mwisho wa mwaka na sisi tufufue mnyama mpaka malaba. Nakwambia 2M passengers ndio itakua idadi ndogo ya abiria kwa mwezi manake hio corridor haina mwenzake EACSGR yenu ingekuwa profitable mchina angeendelea na ujenzi maana anajenga mwenyewe anakusanya nauli mwenyewe sasa kwanini haendelei na ujenzi kama sio kasanuka na huo mradi kuwa ni white elephant?