Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Watu wana mbumba aisee.
DSC_0310.JPG
DSC_0311.JPG
DSC_0313.JPG
 

Nakupa airtime ya mwisho. Endelea kujifurahisha.. mana hata hujui chochote, unajichekesha tu

Ukiondoa hao watu pamoja na Majaliwa, Ndugai, Lukuvi, Prof Kabudi, mama anabaki na watu gani wa kumpa nguvu?
Wakina Slaa, Ndeleji na Mavunde ndo watampa nguvu?

Baraza la mawaziri wenyewe wengi tu hawamtaki kama Prof Mkumbo, Jafo, Ummy Mwalimu na Bashe

Na CCM yenyewe ina watu, mama pamoja na Urais au uwenyekiti wake hawawawezi hata kuwadindia. Wao wakiamua mama kutogombea tena, mama hana uwezo wa kuwapinga
 
Nakupa airtime ya mwisho. Endelea kujifurahisha.. mana hata hujui chochote, unajichekesha tu

Ukiondoa hao watu pamoja na Majaliwa, Ndugai, Lukuvi, Prof Kabudi, mama anabaki na watu gani wa kumpa nguvu?
Wakina Slaa, Ndeleji na Mavunde ndo watampa nguvu?

Baraza la mawaziri wenyewe wengi tu hawamtaki kama Prof Mkumbo, Jafo, Ummy Mwalimu na Bashe

Na CCM yenyewe ina watu, mama pamoja na Urais au uwenyekiti wake hawawawezi hata kuwadindia. Wao wakiamua mama kutogombea tena, mama hana uwezo wa kuwapinga
Mengine sitaki kujua ila tuu Fyekeo linaendelea kaa Kwa kutulia
 
Escalade !.. hahaha… i don’t know about Bongo but to me this a very regular SUV … they even drive it in the hood .. and this a used one on top of everything ..I can buy similar one cash money tomorrow if I wanted to.. please post real posh vehicles like ones in Kileleshwa or Kilimani Nairobi … sio vitu cheap ka jugu karanga 🤣🤣
Now this the kind of Escalade we respect.. the day you post one in Bongo.. I will bow down…
IMG_4222.jpeg
 
Back
Top Bottom