Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wale wa nyota ya JPM muda ndo huu ku-test their loyality!
Porojo za kujifariji tuu zile hamna kitu hapo.

Wenye Chana wameshaamua nani huyo wa kujaribu kunyanyua pua Kwa Samia? Na Kwa sababu zipi za msingi? Kuna Rais ametekeleza Ilani Kwa Ukubwa kumzidi Samia?

View: https://twitter.com/UhondoTV/status/1742244882020720740?t=T8DTTeQlfJ81boks-89ZQw&s=19

Fomu ni 1 tuu na utaratibu huu kama kawaida ulianzishwa na Mwenyekiti Magufuli tuunge mkono 😆😆😆😆😆

Ni kweli CCM ina utaratibu na haitakuwa sahihi kuvuruga utaratibu huu wa kuto mchallenge incumbent president kwakua ita set a danderous precedent chamani. However, huyu hakuwa na awamu yeyote, alikuwa akitimiza matakwa tu ya kikatiba ya nchi ambapo kama tungelikuwa na katiba bora, angesimama kama interim president wakati nchi na vyama vya siasa vikijiandaa na uchaguzi wa rais.

Hivyo basi, hekima ni kuruhusu uchaguzi wa rais ndani ya chama kwa sababu kuu nyingi za msingi.
1. Samia hakuwa rais aliyechaguliwa na wananchi
2. Samia hakuwa chaguo la Magufuli kama makamu wa rais
3. Samia ni zao la Msoga gang kwaajili ya matakwa ya mtandao wa kifisadi.
 
Hili suala la foleni ya meli kwenda bandarini limewastua sana wakundustan, yaani wamerekodi wenyewe, Wametumiana huko mitandaoni halafu nchi ikachafuka,
Ni kama moshi ukipuliziwa kwenye pango la panya, wanatoka huko mmoja mmoja huku wakiwa wamechanganyikiwa. Kuanzia raia wa kawaida hadi Wanasiasa wao.
Na huu ni mwanzo tu, njooni mrekodi bwawa la Nyerere kisha mtumiane huko mkichafue, bado Miradi ya BRT, SGR, Viwanja vya ndege Dodoma , barabara , Viwanja vya mpira wa miguu, bomba la mafuta ghagi, LNG mradi wa b42$ (50% ya uchumi wa kundustan), viwanja vya ndege nk ..kujeni mrekodi mtumiane clip
Common sense must be common here.
Utakuwaje na. 51 ships ndani ya bandari na unaexpect 19!!!
Serious ports do expect more ships than zenye ziko kwa bandari ,
Tumia akili

Jengeni more berths ,izo 11 mko nayo ni kidogo sanaaaa.
 
Ni kweli CCM ina utaratibu na haitakuwa sahihi kuvuruga utaratibu huu wa kuto mchallenge incumbent president kwakua ita set a danderous precedent chamani. However, huyu hakuwa na awamu yeyote, alikuwa akitimiza matakwa tu ya kikatiba ya nchi ambapo kama tungelikuwa na katiba bora, angesimama kama interim president wakati nchi na vyama vya siasa vikijiandaa na uchaguzi wa rais.

Hivyo basi, hekima ni kuruhusu uchaguzi wa rais ndani ya chama kwa sababu kuu nyingi za msingi.
1. Samia hakuwa rais aliyechaguliwa na wananchi
2. Samia hakuwa chaguo la Magufuli kama makamu wa rais
3. Samia ni zao la Msoga gang kwaajili ya matakwa ya mtandao wa kifisadi.
Hizo hekima peleka Chato.

Samia ana akili kuliko Misukule ya Mwendazake,Hadi anaita awamu ya 6 alishajua hizo stori zenu siku nyingi sana.

Akina Polepole walipiga kelele wee ooh sio awamu ya 6 na blaa blaa kama hizo Kiko wapi Sasa 😆😆.

Tuko awamu ya 6 sio ya 5,stuka we babu.

View: https://www.instagram.com/p/C1m-QjdLAok/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Twende na Lichama gani Sasa mbona husemi? Au Lile la walamba asali la Sultan Mbowe? 🤣🤣🤣🤣
Chama chochote kinafaa ata CHAUMA kinafaa sana........tunahitajia mawazo mbadala ya kuongoza hili taifa,sio mawazo yale yale ya "zidumu fikra za Mwalimu,zidumu fikra za Nyerere"

Tupo Karne nyingine ambayo Wananchi wanahitaji kiongozi anayeweza akasimama yeye kama yeye na Taifa likasonga mbele

Mzee Kinana, bado Ana mambo yale yale ya kizamani na ya kishamba sana,wameona Bi'kidude hana maajabu hivyo wanataka wampe kamserereko
 
Chama chochote kinafaa ata CHAUMA kinafaa sana........tunahitajia mawazo mbadala ya kuongoza hili taifa,sio mawazo yale yale ya "zidumu fikra za Mwalimu,zidumu fikra za Nyerere"

Tupo Karne nyingine ambayo Wananchi wanahitaji kiongozi anayeweza akasimama yeye kama yeye na Taifa likasonga mbele

Mzee Kinana, bado Ana mambo yale yale ya kizamani na ya kishamba sana,wameona Bi'kidude hana maajabu hivyo wanataka wampe kamserereko
Nenda jukwaa la siasa kaanzishe mada tutakuja kukupa dozi huko huko
 
Nenda jukwaa la siasa kaanzishe mada tutakuja kukupa dozi huko huko
Kama ulijua Kuna Jukwaa la siasa kwanini uliweka bandiko lako hapa kwenye jukwaa lisilo paswa kuwa na mambo ya siasa??? halafu wandewa tukitoa mawazo mbadala unaanza kujikanyaga

Watu wa CCM uwa mna akili ndogo sana,ndio maana hii nchi tunaonekana Kama wabongo wote tuna akili za matope,kumbe ni kwa sababu ya watu wachache Kama wewe (chawa)
 
Kama ulijua Kuna Jukwaa la siasa kwanini uliweka bandiko lako hapa kwenye jukwaa lisilo paswa kuwa na mambo ya siasa??? halafu wandewa tukitoa mawazo mbadala unaanza kujikanyaga

Watu wa CCM uwa mna akili ndogo sana,ndio maana hii nchi tunaonekana Kama wabongo wote tuna akili za matope,kumbe ni kwa sababu ya watu wachache Kama wewe (chawa)
Huku Huwa tunaweka vidokezo,ikiwa mjadala tunahamia kule
 
Kama ulijua Kuna Jukwaa la siasa kwanini uliweka bandiko lako hapa kwenye jukwaa lisilo paswa kuwa na mambo ya siasa??? halafu wandewa tukitoa mawazo mbadala unaanza kujikanyaga

Watu wa CCM uwa mna akili ndogo sana,ndio maana hii nchi tunaonekana Kama wabongo wote tuna akili za matope,kumbe ni kwa sababu ya watu wachache Kama wewe (chawa)
Jukwaa la siasa lipo lakini haendi!
Kazi ni kucopy kila link ya post anayokutana nayo X hata kama haihusiani na humu.
 
Back
Top Bottom