Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,913
- 103,781
Kitu kinapewa mwarabu very soon kama brt na port 😬hamna shida kwa maoni yangu maadamu walete treni zao (investors) wenyewe na walipie gharama ya kutumia reli yetu na umeme, abiria tuwe na options aidha treni ya trc au ya investor …
mama Tiwagesi TeargasYule mama tiwagesi analia huko alipo 😂😂
Kitu kinapewa mwarabu very soon kama brt na port 😬
Hii ni 3rd generation, kwa uchumi huu wa Bidenomics, unapata hata kwa $5k on Craigslist.Kwa Tanzania hii hela za hivyo huwezi zipata Kwa kufuatisha mifumo nadhani nimeeleweka.
Kwenye hilo wanaopinga ni wapumbavu kina Geza Ulole ...lengo lao ni kuona tunaendelea kufanya makosa kwenye ujenzi tunao endelea nao maeneo mengine.Behind the scenes wanakubaliana na maneno yangu, huku ndio wanajifanya wajuaji😂😂👇👇
View attachment 3056305
Ngoja niwape majobless wakenya hot topic ya kudiscuss kukikucha
View: https://twitter.com/millardayo/status/1818026688401305684?t=OyaVA9giNwUPxsOtWpZLDw&s=19
Jirani hawezichukua clip kama hizi mtungi wao ukipita, sauti ya reli zao ni kama mashine ya kokoto 😀Umia kidogo mpumbavu,chuma hiyoooo
Kuelekea 2025 ni Ngapi ngapi huko Hadi saizi? 😂😂😂😂👇👇
View: https://twitter.com/kigogo2014/status/1817970417778520424?t=LkHT7nWFX1TUPrxQGmWyJg&s=19
View: https://twitter.com/kigogo2014/status/1817971318081642944?t=_0A9mOdEgjChcNs4P7oCHw&s=19
My Take: Bado wale wengine kwenye orodha.
Mwenzako kaona gari la maana akarusha jf 🤣🤣🤣Hii ni 3rd generation, kwa uchumi huu wa Bidenomics, unapata hata kwa $5k on Craigslist.
Mwambie mjinga huyo. 4U Movement sijui alikuwa na umri gani.Bashe sio kundi hilo wewe kima. Bashe hajawahi kuwa kundi hili. Hilo kundi ni Membe, Mkwere, Kinana, Makamba Snr na hao vijana. Bashe ni kundi la Lowassa, Rostam, Emannuel Nchimbi.
Bashe sio kundi hilo wewe kima. Bashe hajawahi kuwa kundi hili. Hilo kundi ni Membe, Mkwere, Kinana, Makamba Snr na hao vijana. Bashe ni kundi la Lowassa, Rostam, Emannuel Nchimbi.
Kitu Kimoja nimefurahi ni Ujasiri wa mama wa Kusafisha Ofisi nyeupe like kuanza upya.Sasa mbona alioyafanya Magufuli mkamuita names ndio mnayafanya upya? Mkubali Intel ya mwamba ilikua before time, ni mengi saivi mnalearn in a hardway kukubali JPM alikua hakurupuki, Samia aliingia kwa mbwembwe kumkosoa Magufuli mpaka kwenye mifumo ya ukusanyaji kodi na kusema eti hataki kodi za manyanyaso, saivi kila siku anabalisha makamishna na kupayuka kodi hazilipwi hazitoshi hazikusanywi, zile 4R zake eti reconciliation, resiliency, rebuilding, reform ni sera ambazo zinafawekwa kwa nchi zilizotoka kwenye crisis na failures, kuchukua nchi iliyojengwa vizuri na kusafishwa kutoka kwenye uozo wa ufisadi, rushwa, uzembe, ujinga na Magufuli na kuifanya nchi ya kuigwa Africa halafu kuja na hizo 4Rs ni matusi makubwa kwa kazi kubwa iliofanywa na Magufuli.
Utumbo mtupu!!Nakupa airtime ya mwisho. Endelea kujifurahisha.. mana hata hujui chochote, unajichekesha tu
Ukiondoa hao watu pamoja na Majaliwa, Ndugai, Lukuvi, Prof Kabudi, mama anabaki na watu gani wa kumpa nguvu?
Wakina Slaa, Ndeleji na Mavunde ndo watampa nguvu?
Baraza la mawaziri wenyewe wengi tu hawamtaki kama Prof Mkumbo, Jafo, Ummy Mwalimu na Bashe
Na CCM yenyewe ina watu, mama pamoja na Urais au uwenyekiti wake hawawawezi hata kuwadindia. Wao wakiamua mama kutogombea tena, mama hana uwezo wa kuwapinga