Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,363
- 15,099
Kutembea ndani ya treni wakati wa kupanda 🐸🙄🙄🙄 wewe unadhani kwa nini kila behewa kuna mlango ni kupunguza usumbufu wa kupishana kwenye korido ndogo za treni tena ukumbuke watu wanakuwa na mizigo sasa upande behewa la kwanza na mabegi kisha utembee hadi la 24 ......kweli upumbavu ni kipaji🐸🐸🐸🐸
hilo la behewa la 1 hadi 24 umeongeza chumvi, sidhani kama hiyo platform ni ndogo hivyo kiasi cha kukava behewa moja tu, nilichotaka kusema ni kwamba wewe labda kama mimi pia hauna facts zote hivyo siyo sawa kuhukumu watu waliofanya kazi kubwa na kuwaita “wapumbavu” kwa sababu tu matokeo ya kazi yao hayajakuridhisha, wamefanya kazi kubwa hata mpaka leo hii teni inatembea na inabeba watu, ina mapungufu? ofcourse ni kawaida, unajua waliotaka launch space vehicle into space ili fail mara ngapi mpaka kuja hata ku take off sucessful? tuwape muda kwanza nafikiri bado hata wako kwenye majaribio …