Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kitu kinapewa mwarabu very soon kama brt na port 😬
Hivi wewe unahabari kwamba airport yenu kapewa muhindi au unapayuka Tu, tena miaka 30!

Nchi yenyewe mna airport moja, na hiyo hiyo mnauza, hivi mnaakili Kweli??
Leo hii KQ anapitia kipindi kigumu, kwa sasa akidhindwa kulipa parking fees and such mnaweza kuuchuna na kumpa muda. ADANI atakubali?? Eti KQ mwaka mzima haijalipa madeni yake, atakubali.

Hii ni blunder kubwa mnafanya.
 
Mko na folded seats? Like Amahoro or namboole stadiums????
Folded seat ndio zinasaidia nn ?? Ikiwa uwanja Una Hali hii hzo folded seat zinasaidia kua na pitch yenye standards?? Au mpira utachezwa juu ya folded seat, 😂😂😂😂

Hamutapata CAF standard kwa upumbavu wenu kila kitu munajenga ni ovyo ovyo Tu

Screenshots_2024-07-29-17-59-05.png
 
Wanataka kutujumuisha watanzania kwenye ligi yao ionekane ipo juu mnakumbuka Dstv alivyo kuwa anataka mechi zetu zichezwe saa sita na saa saba ndiyo azionyeshe saizi anajiuliza alikosea wapi hana pakushika tofauti na mpira wa EPL kwa hapa kwetu
Tanzania kwa sasa tushafikia level kubwa sana kisoka, habari ndogo ndogo kama hizi hatuna mpango nazo, kwanza hata Yanga wenyewe hawakuiongelea hiyo taarifa, yani Yanga waongelee taarifa ya Rais wao kualikwa Kenya kweli 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom