babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,908
- 34,911
Halafu kila anapogusa huwa lazima ale za uso. 😂😂😂Kachikichia to nowhere anapika utumbo mwingine wa comeback 😂😂😂
Halafu kila anapogusa huwa lazima ale za uso. 😂😂😂Kachikichia to nowhere anapika utumbo mwingine wa comeback 😂😂😂
Una uhakika!?Ni yeye mwenyewe so jina linatakiws libadilishwe.
😃😃Aloo sio poa wazee 🇹🇿🇹🇿🔥🔥👉🇰🇪👉💩💩💩🗑️🗑️🚮🚮🚮
Kama hana tamaa mbona alikubali hizo sehemu kuitwa jina lake tena akiwa madarakani? Mbona asisubiri ang’atuke ndo paitwe jina lake kama wenzie?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo mzee angekua na tamaa basi miradi yote unayoiona SASA hvi ingeitwa magufuli
Yani hata mufanye nn haiwezi badilisha akili ya watanzania, pole kama nimekukwaza
Kuna utofauti gani kama angekataa na alivyokubali!?Kama hana tamaa mbona alikubali hizo sehemu kuitwa jina lake tena akiwa madarakani? Mbona asisubiri ang’atuke ndo paitwe jina lake kama wenzie?
Haikutegemewa kuzidi matarajio ndio huku. Anyway si lazima madirisha ni kupigia kampeni app za tiketi kama wanavyofanya watu wa Mikopo, SMS bulk.Waongeze madirisha ya kukata ticket zifike hata 10 au 15 au wajenge jengo separate nje kwa ajili ya kukata ticket na Ku print ticket ili kuondoa foleni kabisa
Umesema vizuri hiyo ngijangija waiweke hapo tuone 🤣🤣🤣Serving coffee at 160kph....dont try this at ''home''
Mama kavua skuna kavaa overall!Kipanya ana maanisha nini
View attachment 3052892
Jamaa zetu hapo kwa mama Ngina kukitokea tu visibility problem wanaenda kutua Burundi 😂😂😂Hata afcon timu zitajionea utofauti mkubwa sn, watu watakuwa na choices nyingi, huku BRT kule electric train pale kuna boats za kwenda Zanzibar au achukue mwewe, chaguo ni lake.
Mtu anashuka JNIA anachukua BRT yake mpaka posta ndani ya mda mfupi kafika anapumzika kesho anacheki game jioni anachukua electric train huyooo dodoma, mechi ikiisha anaenda hoteli kali kesho anaenda Msalato Airport (the biggest and most modern airport in the region) anachukua mwemwe mpaka Arusha anacheki game nyingine, baadae anakwea pipa mpaka KIA anaenda zake kufanya utalii akimaliza tour yake atachagua aondokee KIA, JNIA au Msalato au Zanzibar 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna fala anakwambia eti Samia kamuiga Magufuli msafara mrefu, hebu angalia huu msafara alafu mniambie kama ishawahi kutokea msafara kama huu tangu nchi hii izaliwe.
My take, acheni use.nge
View: https://www.facebook.com/reel/495272693183561?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
Acha tu anaonekana zuzu sana. Video vyote haoni?Mbona una akili ndogo sana? Unaweza kuingia coach number 5 ukatokea coach number 1 au 13 inside walking through other coaches 😂😂😂
ichoboy01 Kosugi et all yaani mlitaka Kila kitu hata hii Airport iiteni jina la Magufuli ila Mtumba Government City ibakie na jina lake 😂😂👇👇
View: https://twitter.com/Dodoma_Zone_/status/1816781418212553101?t=Q-LNSEICL9oikIaTsp99XA&s=19
Kwan akikubali kuna ubaya gani, shida iko wapi wazee mbona muna panic vitu vya kawaida 😂😂Kama hana tamaa mbona alikubali hizo sehemu kuitwa jina lake tena akiwa madarakani? Mbona asisubiri ang’atuke ndo paitwe jina lake kama wenzie?
Still madirisha matano hayatoshi bro alaf sio wote wanaweza kukata through app hatujafika level hzo bado, muhimu madirisha ya kukaa ticket yafike hata 15 kuondoa foleni na itapendeza zaidi wakujenga jengo jingine pembeni iwe maalum kwa ajili ya ticketing and printingHaikutegemewa kuzidi matarajio ndio huku. Anyway si lazima madirisha ni kupigia kampeni app za tiketi kama wanavyofanya watu wa Mikopo, SMS bulk.
Kupitia mitandao ya kijamii kuwe na automatic machine ya risiti getini unascan. Ukiingia tiketi inakua imetumika.
Kingine walinde seats za mtu akikata online hata kama hajafika fresh tu. Ili kuleta uaminifu wa kukata online. Madirisha yatakua yanatosha.
Kingine waongeze wafanyakazi wa kuongoza na watu wawe na adabu ya kusogea dirishani why wasiweke zile kingo kama za Bank?
Tatizo litaisha automatically.