Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanajaribu kuharibu uhalisia lkn hawatoweza, kabla ya Magufuli tulikuwa nchi ya kipuuzi sana ambayo ina maliasili nyingi lkn infrastructures za kizee ambazo hata failed state kama kenya tulikuwa hatuwezi kubishana nayo, Magufuli kaibadilisha sn hii nchi na ndiyo unaona hii miradi yote tunayoringa nayo humu na kuwabeza wakenya kitu ambacho tusingethubutu hata chembe.

Hao marais wengine sio kwamba hawakufanya kazi lkn ni kazi ambazo hata mm ningefanya, hii miradi aliyoanzisha Magufuli ndiyo hii inawasumbua kuimalizia, je wangeweza kuianzisha? Kichaa mwingine eti hataki jina liitwe Magufuli wakati kabla ya Magufuli kulikuwa ni pori tu kwnn tusimuenzi jasiri kwa kuita mji jina lake, achana nao vichaa hao wanaolipwa kuharibu legacy na hawatoweza kamwe.
Mwenda zake alikua ni kiongozi imara.
Licha ya madhaifu yake yootee na vurugu zake zootee ila hii nchi kaipigisha hatua kuliko awamu yeyote ile.
 
Unaongea hivyo wewe kama Nani? Kwani jina likiwa hivyo Kuna shida gani? Ndio jina linalofahamika na kizuri hakulibadilisha yeye. Chuki yako won't erase his legacy and dedication.
Kuna shida yes Baba wa Taifa hana mnakuja kubadilisha jina la sehemu yenye historia kukidhi upuuzi wenu kabadilisheni jina la Chato kuwa Magufuli! Mngepaswa kufanya concesus kwanza!
 
Screenshot_20240726-122443_YouTube.jpg
 
Kwa hii sjiara mji wa Dodoma utachangamka sana nakamata treni ya jioni hapa Dar mpala Dom nakula bata Dom mpaka asbuhi halafu nageuka na treni ya mapema niko Dar naendelea kuchapa kazi 🤣🤣🤣🤣
Hata afcon timu zitajionea utofauti mkubwa sn, watu watakuwa na choices nyingi, huku BRT kule electric train pale kuna boats za kwenda Zanzibar au achukue mwewe, chaguo ni lake.
Mtu anashuka JNIA anachukua BRT yake mpaka posta ndani ya mda mfupi kafika anapumzika kesho anacheki game jioni anachukua electric train huyooo dodoma, mechi ikiisha anaenda hoteli kali kesho anaenda Msalato Airport (the biggest and most modern airport in the region) anachukua mwemwe mpaka Arusha anacheki game nyingine, baadae anakwea pipa mpaka KIA anaenda zake kufanya utalii akimaliza tour yake atachagua aondokee KIA, JNIA au Msalato au Zanzibar 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom