Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama mamtoni mwanangu ❤️ ❤️ 😘 😘 😍 😍 🇹🇿 🇹🇿 🔥 🔥 🔥 🔥
Screenshot_20240725-164656~2.png
1721903132130.png
Screenshot_20240725-050107~2.png
1721903092041.png
 
Naunga mkono hoja.Kama wanataka wangeita structures mbalimbali Magufuli ila hili jina la Mji wa Serikali lingesalie mtumba government city.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Huyo mzee angekua na tamaa basi miradi yote unayoiona SASA hvi ingeitwa magufuli

Yani hata mufanye nn haiwezi badilisha akili ya watanzania, pole kama nimekukwaza
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Huyo mzee angekua na tamaa basi miradi yote unayoiona SASA hvi ingeitwa magufuli

Yani hata mufanye nn haiwezi badilisha akili ya watanzania, pole kama nimekukwaza
Wanajaribu kuharibu uhalisia lkn hawatoweza, kabla ya Magufuli tulikuwa nchi ya kipuuzi sana ambayo ina maliasili nyingi lkn infrastructures za kizee ambazo hata failed state kama kenya tulikuwa hatuwezi kubishana nayo, Magufuli kaibadilisha sn hii nchi na ndiyo unaona hii miradi yote tunayoringa nayo humu na kuwabeza wakenya kitu ambacho tusingethubutu hata chembe.

Hao marais wengine sio kwamba hawakufanya kazi lkn ni kazi ambazo hata mm ningefanya, hii miradi aliyoanzisha Magufuli ndiyo hii inawasumbua kuimalizia, je wangeweza kuianzisha? Kichaa mwingine eti hataki jina liitwe Magufuli wakati kabla ya Magufuli kulikuwa ni pori tu kwnn tusimuenzi jasiri kwa kuita mji jina lake, achana nao vichaa hao wanaolipwa kuharibu legacy na hawatoweza kamwe.
 
Back
Top Bottom