Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sasa kweli kabisa unataka tuweke mambathi sturucture kama hii? Ya nn haswa?

Nchi zilizoendelea...
guide-to-deutsche-bahn-28.jpg
So unatuekea picha ya train ikitoka? Mbona hueki picha ya train ikisimama?😂😂🤣.

Again talking about Mabati. Don’t forget Tanzania is king of mabati structures🤣🤣😂😂.

Kenyan canopy is not mabati.
1722011943395.jpeg



Tanzanian canopy is full mabati🤣🤣👇👇
1722012172861.jpeg
 
Hakuna kuangaliana in Kenyan trains. Nyinyi endeleeni kuangaliana kama mbuzi😂😂🤣🤣👇👇

View attachment 3053014
Kwenye kuangaliana ni muhimu mahesabu ya kompyuta yatumike kutambua family team au friends team ni vizuri familia kuangaliana au team moja ya kusafiri kuna 4 sit na 6 sit kutazamana kama baba na mama wana watoto 2 wanachukua sit za kutazamana 4 au kama wapo 6 wanachukua sit za kutazamana 6
 
Unachokitaka ww hakiwezekani nimekwambia magufuli angekua ana roho ya tamaa basi kila kitu SASA hvi kingekua kwa jina lake
Nachotaka ni Kimoja tuu,Mtumba Government City, mengine yoote iteni kuanzia Sgr,Marais,sijui viwanja na hata Wilaya ya Chato
 
In Kenya Two to three SGR trains can operate at the same time ( offloading and onloading) in the same station(Nairobi and Momba) without any inconvinience because the stations are designed to accomodate that. In Tanzania a train has to wait for another train to load passengers ndio hile ingine yenye inataka kushukisha ishukishe😂😂.

Nairobi.
1722013743606.png

1722013821260.png

1722013859033.png

1722017622854.png


Mombasa
1722014007673.jpeg

1722014027340.jpeg
 
Hapo kuna kosa la kipumbavu kwa mainjinia wetu tz very nonsense

kwa nini? sijaona tatizo bado hapo, kwanza hiyo ni station kuu au station ndogo? halafu kwani kuna shida gani abiria kupandia platform yoyote na kutembea ndani ya treni kwenda kwenye behewa walipendalo? isitoshe treni inaweza kupunguzwa au kuongezwa mabehewa kulingana na demand, binafsi sijaona bado huo “upumbavu” wa mainjinia wetu hapo …
 
Kenya. Passengers are protected from adverse weather conditions unlike in Unchawiland.

View attachment 3052955

Vs

Uchawiland. Hapa ni kunyeshewa proper🤣🤣👇👇👇
View attachment 3052958

hivyo ni vitu trivial, siyo kila station lazima iwe kuubwa, kuna vistation vya miji midogo ambapo hata treni express haitosimama, hivyo kwangu hiyo siyo big deal …
 
kwa nini? sijaona tatizo bado hapo, kwanza hiyo ni station kuu au station ndogo? halafu kwani kuna shida gani abiria kupandia platform yoyote na kutembea ndani ya treni kwenda kwenye behewa walipendalo? isitoshe treni inaweza kupunguzwa au kuongezwa mabehewa kulingana na demand, binafsi sijaona bado huo “upumbavu” wa mainjinia wetu hapo …
Unaweka kanopi ya mabehewa 13 halafu unakuja kuongeza mabehewa yanafika 20! 😂😂😂
Hadi hii SGR refu kuliko zote Africa ikikamilika hizi kondoo za zakayo zitakuwa zishakuwa machizi.
 
Back
Top Bottom