Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ichoboy01 Kosugi et all yaani mlitaka Kila kitu hata hii Airport iiteni jina la Magufuli ila Mtumba Government City ibakie na jina lake 😂😂👇👇

View: https://twitter.com/Dodoma_Zone_/status/1816781418212553101?t=Q-LNSEICL9oikIaTsp99XA&s=19

Sasa hiyo Government City kaijenga nani? Mbn hamkuwa mkiita government City before kujengwa na Magufuli, acheni mzaha. Hilo jina la mtumba kaiteni vijiji vyenu, hiyo Government City inaitwa Magufuli city mtake ndio hivyo msitake ndio hivyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sasa hiyo Government City kaijenga nani? Mbn hamkuwa mkiita government City before kujengwa na Magufuli, acheni mzaha. Hilo jina la mtumba kaiteni vijiji vyenu, hiyo Government City inaitwa Magufuli city mtake ndio hivyo msitake ndio hivyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani wewe unaona kaijenga nani? Haina jina lake?

Ikiwezekana Chato yote iitwe Kwa jina la Magufuli ila Mji wa Serikali Mtumba usalie vile vile na jina lake la Asili.
 
Night mode

20240726_145136.jpg
20240726_145133.jpg
 
Hata afcon timu zitajionea utofauti mkubwa sn, watu watakuwa na choices nyingi, huku BRT kule electric train pale kuna boats za kwenda Zanzibar au achukue mwewe, chaguo ni lake.
Mtu anashuka JNIA anachukua BRT yake mpaka posta ndani ya mda mfupi kafika anapumzika kesho anacheki game jioni anachukua electric train huyooo dodoma, mechi ikiisha anaenda hoteli kali kesho anaenda Msalato Airport (the biggest and most modern airport in the region) anachukua mwemwe mpaka Arusha anacheki game nyingine, baadae anakwea pipa mpaka KIA anaenda zake kufanya utalii akimaliza tour yake atachagua aondokee KIA, JNIA au Msalato au Zanzibar 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hizo ni options nyingi sana which is good ila kwa jirani all roads lead to JKIA huko kwingine kote hamna maisha halafu umene sasa watakuwa nao stable au ndio watatutia aibu za rejareja?
 
Sasa hiyo Government City kaijenga nani? Mbn hamkuwa mkiita government City before kujengwa na Magufuli, acheni mzaha. Hilo jina la mtumba kaiteni vijiji vyenu, hiyo Government City inaitwa Magufuli city mtake ndio hivyo msitake ndio hivyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Basi jamani mbona issue ndogo hii.
Tuite Magufuli City, Mtumba.
Hapo vipi?
 
Back
Top Bottom