Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG-20240721-WA0029.jpg


Ningependa kuona stats za bongolala.
 
Alafu mnasema sisi ni wafungwa wa akili. No Kenyan can celebrate this bullshit in 2024.

PS......huwa naona mkipost humu shule za huko West Pokot kwa cattle rustlers wanafunzi wakiwa chini ya mti kumbe kwenu hayo yanafanyika mjini tena Darasarama?😂
Tatizo letu watu meaning raia wanajenga nje kabisa ya mji kabla ya huduma kufika ndio unakuta kuna shule ndogo kuliko idadi ya watu. Rarely huwa inatokea na immediately huwa sorted ikionekana inatrend! Zimamoto culture.
 
Mwenyekiti naomba utoe tangazo kila mtanzania anapo andika ujumbe au kuweka picha amalizie na hashtag #RUTOMUSTGO
Hapana kaka sio suala la kusifia hata kidogo bado tuna shida nyingi Sana za kutatua kwenye nchi hii, tunaingia kwenye mkenge WA debt burden kwa kusifiana tu
 
Nicheke mie 😂 😂 😂 wanajiona wao na SA ni levo moja 🤣🤣

Wakufunga boda ni Sisi, Tanzania, Uganda...the whole of EA . Angalia the inflilux of them they hizi nchi zote!!

Yani hawa jamaa wanamatatizo balaa, dah!!!
😁😁😁 Wakati wao Pamoja na hostility yetu waliotupachikia vichwani mwao bado wanaipenda Tanzania and wish to live in, imagine mpaka chakula wanaagiza Tanzania wakati hata wakinunua huko huko kwao bado kimetoka Tanzania 😅😅😅

Screenshot_20240721-124853.jpg
Screenshot_20240721-124927.jpg
Screenshot_20240721-124958.jpg
Screenshot_20240721-125029.jpg
Screenshot_20240721-125052.jpg
Screenshot_20240721-125119.jpg
 
Back
Top Bottom