Advanced mathematics hiyo sio size yako.What’s the answer of X=x+1 ?
Advanced mathematics hiyo sio size yako.What’s the answer of X=x+1 ?
Pesa alizokopa Magufuli hazifikii hata theluthi ya alizokopa Samia.Nilijua lazima utafute ezcuses 😂😂😂
Magufuli alikopa au hakukopa?
Pesa alizokopa Magufuli zinafanana na alizokopa Samia!?Ukweli upi? Iko wazi kabisa na Samia alisema Serikali yake itakopa na imekopa kutekeleza miradi.
Jibu swali Magufuli alikopa au hakukopa? Nina maswali mengi ya kukuuliza.
Dah hiyo Kudumu AP imekaa kama mgahawa😭😭😭😭😭Are you sure of that?.. check your sources again!
Kumbe yanaanguka kwa sababu gani? Unajenga ghorofa ambalo structurally liko weak due to wrong calculations. Hesabu hizo vilaza nyie.Must you be stupid? Who told you Magorofa yote yanaanguka because of the ratio of sand:Cement?
Eapoti ya kuzimu Kenya 🤣🤣🤣Dah hiyo Kudumu AP imekaa kama mgahawa😭😭😭😭😭
Nimewaambia hawa kima when it comes to rounding off time it is universally acceptable to round off to the nearest 5 or 10 minutes and/or quarter hour.Inamaana dakika 25 ikikadiriwa ndio sawa na lisaa!?
Kwahiyo masaa matatu na dakika 25 ni sawa na masaa manne kimakadirio!?
Sio masaa matatu na nusu tena!?
AISEE 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
I'm not talking about reporting, I'm talking of discussing. Kiingereza huwa kimewapiga chenga balaa. Here is an example of a discussion.
View: https://www.youtube.com/watch?v=ZJGzM751LlE
MbeyaNi wapi huku broda
Hawa kima ni zero brain 🤣🤣🤣Inamaana dakika 25 ikikadiriwa ndio sawa na lisaa!?
Kwahiyo masaa matatu na dakika 25 ni sawa na masaa manne kimakadirio!?
Sio masaa matatu na nusu tena!?
AISEE 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭