Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Imagine timu bora huko kenya inayoongoza ligi miaka nane mfululuzo imeshika mkia na kuzidiwa na vitimu vidogo. Haijashinda hata mechi moja.
Ligi ya kenya ni weak kiasi gan sijui
View attachment 3044220
Picha linaanza kwenye nembo ya timu (logo) imekaa kifukara kinoma aisee 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Compare and Contrast 🤣🤣🤣
Screenshot_20240717-083642~2.png

Young Africans 👇👇🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20240717-083227~2.png

Alafu wanasema wao ni wabunifu wazuri kuliko sisi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Itashangaza sana mtu kama Nape kuendelea kuwa waziri kwenye hii serikali ya anaupiga mwingi kama wapo serious.
Wasipomla kichwa huyu mtu, ndio nitaendelea kuamin mama hana maamuzi
Ameomba radhi ika kama hutaki kamtoe wewe basi uridhike
 
Hivi kwanini kampuni za India zinapewa tender Tanzania?
Swali kama hili hukuoaswa kuuliza wewe Mzee unanitia aibu.

Jibu ni ,India ilitoa pesa ya Mkopo $500M Kwa masharti kwamba Wakandarasi wawe wao na wata source materials muhimu za mradi huu kutoka kwao.

Mkataba huu ulisainiwa Toka awamu ya Magufuli ila pesa ilichelewa kutoka Kwa sababu za mivutano ya kidiplomasia (wenyewe wanajua sababu 😂😂).
 
Usisahau huo Mkopo ulisainiwa awamu ya 5 na Kwa hayo masharti yaliyopo View attachment 3044509
Hela ya kujenga nyumba nzuri nitafute mim (baba mwenye nyumba), afu dogo (mama) akikamilisha mjengo ndo kaupiga mwingi

Tuendelee kuimba MAMA YUKO KAZINI,
MAMA KAUPIGA MWINGI
Miradi 1700 ya maji inaendelea Nchi nzima yaani ni 🔥🔥🔥

View: https://www.instagram.com/p/C3uDgYmNQ1V/?igsh=MWswM2R6dWI4MTJseg==

Meanwhile huko Kunyaland Hali.iko hivi 👇👇

View: https://twitter.com/Amref_Worldwide/status/1761992069344579850?t=S-hBO5HJuuEptMSGr8IFhQ&s=19
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

Kazi ya kuhakikisha Kila Mtanzania anafikiwa na maji inaendelea Handeni.

1.Bilioni 171
2.Bil.25

Mama Yuko kazini 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C3m1V8PK6Ys/?igsh=d2pkZmdwOWRtb2dn

By disemba 2025,Kila Kijiji kitakuwa na maji ya Bomba.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C34ndtoqbMt/?igsh=MXhyMjJrejE3Z3VuMQ==

By desemba 2030 ,Mama atakuwa ameshafuta habari ya maji hapa Tanzania.

Usiingie kwenye vita vya bunduki ukiwa na magogo tu
 
Back
Top Bottom