Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hela ya kujenga nyumba nzuri nitafute mim (baba mwenye nyumba), afu dogo (mama) akikamilisha mjengo ndo kaupiga mwingi

Tuendelee kuimba MAMA YUKO KAZINI,
MAMA KAUPIGA MWINGI



Usiingie kwenye vita vya bunduki ukiwa na magogo tu
Kwani awamu ya 5 na nyie mlikuwa mnakopa? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Ukishindwa kujenga unasaidiwa ndio maana wahindi hawakutoa pesa Kwa sababu mliwa harass wafanyabiashara wa kihindi na kuvuruga biashara zao za mbaazi,korosho nk.

My Take: Samia ndio atafuta shida ya Maji Nchi hii na wewe unajua ila chuki zako ndio zinakusumbua.
 
Itashangaza sana mtu kama Nape kuendelea kuwa waziri kwenye hii serikali ya anaupiga mwingi kama wapo serious.
Wasipomla kichwa huyu mtu, ndio nitaendelea kuamin mama hana maamuzi
Na bashe anasubiri nini ofisini kwenye sakata la sukari ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wanasema alikua anatania ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Huyu ndio waziri anaetegemewa na jamhuri ya muungano WA Tanzania

Haya wacha inyeshe tujue panapovuja


View: https://x.com/athanas_pius/status/1813230005440197033?t=Cej0S3MWkAhDgk39fdhcDw&s=19



Anakwambia ni utani Tu na ni waziri ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚


View: https://x.com/HabariLeo/status/1813485328373551550?t=e2TwEAn2pANFp25T0Dd67Q&s=19

Utani ameongea at his capacity kama Waziri hapo! Hapo no serikali inaongea!
 
Back
Top Bottom